Kama una tabia hii uache

aseee bagah yani umenifanya nikasikia harufu ya kinyesi hapa nilipo, na hakuna choo karibu!!.

pole memo...ni katika kuelezea nikajikuta nimefunguka mmno...mana hili jambo silipendi kinoma!...
 
Hahaha wale wanaoshinda kwa mkurugenzi kupiga majungu? Hawa ndo siwapendi zaidi, halafu ukute mkurugenzi mwenyewe hajiamini anapenda majungu inakuwz kazi haswaaaaaaaaaaaa
Yan mi leo niko out of moody kwa ajili ya hao wajinga....
Natamani hata kuacha kazi
 
Wadigo wanakuambia mavi nayo niyajengee nyumba? Ya kazi gani? Hapo mwendo ni kunya porini tu bila hata kwenda na jembe la kufukia.
 
tena kibaba kimetoka kinafungia suruali hapa juu karibu na kifua...kumbe mavi mtu mwili mzima....


nimeipenda hii....
Watu hawajui uzuri wa nyumba sio masofa.....wala sio jiko....uzuri nyumba ni choo....
 
Toooba hao ndo wanaojisaidia vichakani........wakiumwa nyoka makalioni sijui watafuga wapi......


Wadigo wanakuambia mavi nayo niyajengee nyumba? Ya kazi gani? Hapo mwendo ni kunya porini tu bila hata kwenda na jembe la kufukia.
 
Wala usiache kazi komaa nao, mie yaliwahi
kunikumba kipindi fulani..... Baada ya kupata ushahidi ambao nilijua hawezi kuchomoka Niliamua kumuita mhusika na mkurugenzi nikawaambia kuna maneno haya na haya nimeyasikia sijayapenda na mashahidi ni
fulani na fulani, toka siku hiyo wanafanya kisirisiri.....

Kwa hiyo wala usiwape attention, waignore we piga kazi huku ukitafuta green pasture , watu wa namna hiyo kwenye riziki huwa hawakosekani....

Ila kuna msemo 'mbwa ukimjua jina hakusumbui', mradi unawajua tabia hawawezi kukusumbua......



Yan mi leo niko out of moody kwa ajili ya hao wajinga....
Natamani hata kuacha kazi
 
Na wale wanaokojoa mpaka juu ya sink ...
Wazeni kidogo naomba maana hata ukifuta mkojo bacteria bado wapo.

Nawaombeni wale wote mnaosimama wakati wa haja ndogo ..

Hakikisha bastola yako iko katikati ya tundu kabla ya ku mimina risasi ..
TA
 
Mtu mzima, [tena usikute msomi na degree zako kadhaa kichwani] unaingia chooni, iwe choo cha umma au binafsi, iwe ofisini au kituo cha basi unakuta choo kisafi, kinang'ara, unaachia mkojo ukimaliza unaondoka bila kuflash ilhali maji yapo ya kutosha......... Halafu mkojo wa njaaaaaaaaaaaanooooooooooooo........ Mpaka umetoa povu....

Haifai hiyo waungwana......kama kuna mwenye tabia hii aache mara moja....

kitu mkojo wa mlevi wa mnazi au chibuku mwana,ni balaaaa,yaani hata umwage maji na sabuni kitu harufu inabaki hapo hapo. tulishi chuoni na mzee mmoja mwenyeji wa mtwara alikuwa akichacha boom limeisha anaenda mwenge kunywa mnazi akirudi hosteli chooni kulikuwa hakuingiliki wala chumbani hakukaliki kwa harufu.tulikuwa tunalazimika kuhama rum.
 
Nawaombeni wale wote mnaosimama wakati wa haja ndogo ..

Hakikisha bastola yako iko katikati ya tundu kabla ya ku mimina risasi ..
TA

mmmh kweli kabisa, sio unaingia maliwato unakuta vitone vitone vya mkojo sakafuni.......
 
Na wale wanaokojoa mpaka juu ya sink ...
Wazeni kidogo naomba maana hata ukifuta mkojo bacteria bado wapo.

Nawaombeni wale wote mnaosimama wakati wa haja ndogo ..

Hakikisha bastola yako iko katikati ya tundu kabla ya ku mimina risasi ..
TA

sasa kama mtu amelewa na hana control ya kushikilia bastola afanyeje? Achuchumae kama nyinyi?
 
nimeipenda hii....
Watu hawajui uzuri wa nyumba sio masofa.....wala sio jiko....uzuri nyumba ni choo....

mkuu wenyewe hawaiti wakichakani wanaita wangwani.kibinti/mama/dada anakata gogo kichakani halafu chipi anaitia kwenye sidiria anatembea mpaka home bila pichu na chembe chembe za mavi makalioni anaenda kutawazia home,
 
Bora sakafuni kuliko kwenye kiti cha choo....
Maana Kuna wengine wavivu wa kunyanyua
Kiti cha choo.

unajua kuna wale wanaopanda kwenye kiti cha choo? Halafu wanaacha kichafu? Tena usiombe awe amekanyaga tope..........
 
Hhahaaaaaaa umenifanya nicheke........ Hayo makalio yanakuwa salzma kweli? Hakutelezi? Kweli kuna vitu kuvifanya unahitaji moyo....


mkuu wenyewe hawaiti wakichakani wanaita wangwani.kibinti/mama/dada anakata gogo kichakani halafu chipi anaitia kwenye sidiria anatembea mpaka home bila pichu na chembe chembe za mavi makalioni anaenda kutawazia home,
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom