BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
Mtu mzima, [tena usikute msomi na degree zako kadhaa kichwani] unaingia chooni, iwe choo cha umma au binafsi, iwe ofisini au kituo cha basi unakuta choo kisafi, kinang'ara, unaachia mkojo ukimaliza unaondoka bila kuflash ilhali maji yapo ya kutosha......... Halafu mkojo wa njaaaaaaaaaaaanooooooooooooo........ Mpaka umetoa povu....
Haifai hiyo waungwana......kama kuna mwenye tabia hii aache mara moja....
Haifai hiyo waungwana......kama kuna mwenye tabia hii aache mara moja....