Inakuaje wapenzi wanapoacha wasiachane kwa wema kama ilivyokua wkt mkitongozana?mpaka muanze kutoana kasoro alizonazo mwenzako?na kashfa kemkem mala demu mwenyewe mbaya au bwana mwenyewe kafupii jamani inamaana wakati unamkubli ukuziona kasoro?
Wakati mnakubaliana haiwezekani mkaona kasoro!
kwel ila unamuona wenzio mzur kumbe wote ni wazush
Mkuu nadhani wengi huwa wanaingia kwenye mahusiano bila kujua wamedhamiria nini, yaani kila mmoja anakuwa na mawazo yake kichwani ambayo ni siri yake na mwenzake hajui.... Nahisi wengi wao (hasa wasichana) huwa wanaingia kwenye mahusiano wakitegemea kuwa wote siku zote.. Sasa inapofika kipindi kuwa ndoto zao haziendi kule walikokuwa wakitaka ndio hapo kashfa na matusi yanaanza...
Babu Lao hii color umeanza lini tena bana
DA rangi inategemea na ujumbe....:behindsofa: