rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Jamaa yetu kaenda south africa kufika huko mambo ya maisha ni ovyo akafungwa miaka 10,kufika jela akagombaniwa na wafungwa wenzake walitaka kumwoa,jamaa akaona apambane lakini kwa sababu alikuwa sio fit akaishia kuolewa na jamaa huko gerezani
kama umezaliwa mwanaume jitahidi sana kujiweka fit masaa yote huwezi kujua ya kesho,Watoto wetu wa kiume tuwe nao karibu kuwasaidia kuwa fit na kuwafundisha maisha na jinsi ya kuishi hapa duniani,maisha siyo mchezo
kama umezaliwa mwanaume jitahidi sana kujiweka fit masaa yote huwezi kujua ya kesho,Watoto wetu wa kiume tuwe nao karibu kuwasaidia kuwa fit na kuwafundisha maisha na jinsi ya kuishi hapa duniani,maisha siyo mchezo