Kama ulituma maombi wizara ya afya. Na km uko Dsm pia inakuhusu!

Asanteni kwa updates zenu ila which is which ijumaa au j.tatu acha tungoje kama upoupo tu.
 
Asanteni kwa updates zenu ila which is which ijumaa au j.tatu acha tungoje kama upoupo tu.
 
Najiuliza hivi: Huu ujinga wanaoufanya ma-clinical officer huku makazini, na bado ma-losers wengine wanaingia kwenye fani kuja kutuua! Serikali futa hii kada, hawa waganga ni wauaji tu!
 
Najiuliza hivi: Huu ujinga wanaoufanya ma-clinical officer huku makazini, na bado ma-losers wengine wanaingia kwenye fani kuja kutuua! Serikali futa hii kada, hawa waganga ni wauaji tu!

inaelekea umeelewa somo vizuri kabisa
 
Najiuliza hivi: Huu ujinga wanaoufanya ma-clinical officer huku makazini, na bado ma-losers wengine wanaingia kwenye fani kuja kutuua! Serikali futa hii kada, hawa waganga ni wauaji tu!

Unajua maana ya clinical officer? au unajua objective za clinical officer? Unajua madhara ya kutokuwepo na clinical officer? thn jitahd sna kuheshimu kaz za wenzako. Na uwe una2mia kauli nzur.
Na pia unafikiria ma c.o ni wajinga fikiria mara mbili mbili.
 
Nafikiri ajui alisemalo,ni bora ajiondoe humu

Nawafahamu sana hawa CO, ni ngazi ya diploma na ili uende huko ni lazima uwe umeangukia pua katika masomo yako ya f.VI zamani hata std 7 walikuwa wanaruhusiwa kujiunga na vyuo vya utabibu.

Katika kuogopa uharibifu wao serikali imeondoa hawa watu kutibu katika ngazi ya hospitali na wanatibu katika ngazi za health centre na zahanati tu.
Nchi nyingine hakuna kada hiyo katika kada za afya lakini pia jiulize mtu aliyefeli masomo ya kidato cha nne/sita unaweza kumruhusu amtibu mwanao? Afya ya mtu haifanyiwi majaribio.
UKWELI NI MGUMU KUMEZA!en.m.wikipedia.org/wiki/Clinical_officer
 
Nawafahamu sana hawa CO, ni ngazi ya diploma na ili uende huko ni lazima uwe umeangukia pua katika masomo yako ya f.VI zamani hata std 7 walikuwa wanaruhusiwa kujiunga na vyuo vya utabibu.

Katika kuogopa uharibifu wao serikali imeondoa hawa watu kutibu katika ngazi ya hospitali na wanatibu katika ngazi za health centre na zahanati tu.
Nchi nyingine hakuna kada hiyo katika kada za afya lakini pia jiulize mtu aliyefeli masomo ya kidato cha nne/sita unaweza kumruhusu amtibu mwanao? Afya ya mtu haifanyiwi majaribio.
UKWELI NI MGUMU KUMEZA!en.m.wikipedia.org/wiki/Clinical_officer

hujui kitu mpendwa kuna watu wamepa 3 kwenye Chet cha form six na wamekosa nafas ya MD wameomba co.kila kitu na malengo mpendwa hacha kusema ujinga kwenye mtandao mkubwa kama huu jifunze kuheshim watu ili na ww hueshimiwe.
 
ndebile, hata kam kungekuwa na ukweli wowote ktk ulosema, watz tunashuhudia kazi nyingi nzuri ambazo CO wanafanyia jamii
 
Kaka ngoja nikufahamishe,entry qulification kwa diploma ya clinical medicine ni lazima uwe na ufaulu wa bios-c, chem-c, phy-c kwa form iv na kwa form six awe na E kwa PCB sasa nikuulize nani kafeli hapo,halafu inavyoonyesha wewe ulikimbia masomo ya sayansi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom