emmanuel magige
Member
- Jul 14, 2012
- 60
- 4
- Thread starter
- #21
kweli wanajamii wenzangu that is confirmed detail results will be released on 15 oct
Una uhakika kaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli wanajamii wenzangu that is confirmed detail results will be released on 15 oct
hata mm nackia hivyo mkuu..halafu mbona web yao haifunguki?
kweli wanajamii wenzangu that is confirmed detail results will be released on 15 oct
sasa siutuambie lini yanatoka kama uko wizarani maana
yapo tayari. na jmatatu lazma yaonekane.kuanzia saa 4.
if its true thanks a lot cc
Najiuliza hivi: Huu ujinga wanaoufanya ma-clinical officer huku makazini, na bado ma-losers wengine wanaingia kwenye fani kuja kutuua! Serikali futa hii kada, hawa waganga ni wauaji tu!
Najiuliza hivi: Huu ujinga wanaoufanya ma-clinical officer huku makazini, na bado ma-losers wengine wanaingia kwenye fani kuja kutuua! Serikali futa hii kada, hawa waganga ni wauaji tu!
Nafikiri ajui alisemalo,ni bora ajiondoe humu
Nawafahamu sana hawa CO, ni ngazi ya diploma na ili uende huko ni lazima uwe umeangukia pua katika masomo yako ya f.VI zamani hata std 7 walikuwa wanaruhusiwa kujiunga na vyuo vya utabibu.
Katika kuogopa uharibifu wao serikali imeondoa hawa watu kutibu katika ngazi ya hospitali na wanatibu katika ngazi za health centre na zahanati tu.
Nchi nyingine hakuna kada hiyo katika kada za afya lakini pia jiulize mtu aliyefeli masomo ya kidato cha nne/sita unaweza kumruhusu amtibu mwanao? Afya ya mtu haifanyiwi majaribio.
UKWELI NI MGUMU KUMEZA!en.m.wikipedia.org/wiki/Clinical_officer