Elections 2010 Kama uchaguzi ungelifanyika wiki jana matokeo ni..

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,172
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..

Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-

A. URAISI


JINA ASILIMIA

1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1


B. UBUNGE


CHAMA IDADI YA VITI

1.0 CHADEMA……………………………101

2.0 CCM………………………………… 66

3.0 CUF……………………………………30

4.0 WENGINEO………………………………...5

5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8


C. MADIWANI

1.0 CCM……………………..52%

2.0 CHADEMA…….. 38%

3.0 CUF……………. 9%

4.0 WENGINEO……. 1%

USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI

 
Ni nani walioendesha hiyo tathimini?

Synovate wamenishangaza sana, wanafanya tathimini Kenya ambako uchaguzi ni mwaka 2012, halafu wanadai eti hawajafanya tathimini Tanzania ambako uchaguzi unafanyika mwezi ujao. Kaazi kweli kweli!

Kwa sasa hizo tathimini si muhimu sana, muhimu ni kuongeza kasi kwenye kampeni na kusambaza habari njema kwa wengi.

Tathimini ina impact mijini ambako sometimes turnout huwa ni poor kwa kuwa kuna watu wana hisia ambazo ni negative kwenye uchaguzi na hivyo inawakatisha tamaa wasiende kupiga kura.
 
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..

Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-

A. URAISI


JINA ASILIMIA

1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1


B. UBUNGE


CHAMA IDADI YA VITI

1.0 CHADEMA……………………………101

2.0 CCM………………………………… 66

3.0 CUF……………………………………30

4.0 WENGINEO………………………………...5

5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8


C. MADIWANI

1.0 CCM……………………..52%

2.0 CHADEMA…….. 38%

3.0 CUF……………. 9%

4.0 WENGINEO……. 1%

USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI


viti vya ubunge ni vingi zaidi ya hivyo unavyoweka (210) na ujue kuwa kati ya hivyo CCM wana vya bure
 
Ni nani walioendesha hiyo tathimini?

Synovate wamenishangaza sana, wanafanya tathimini Kenya ambako uchaguzi ni mwaka 2012, halafu wanadai eti hawajafanya tathimini Tanzania ambako uchaguzi unafanyika mwezi ujao. Kaazi kweli kweli!

Kwa sasa hizo tathimini si muhimu sana, muhimu ni kuongeza kasi kwenye kampeni na kusambaza habari njema kwa wengi.

Tathimini ina impact mijini ambako sometimes turnout huwa ni poor kwa kuwa kuna watu wana hisia ambazo ni negative kwenye uchaguzi na hivyo inawakatisha tamaa wasiende kupiga kura.

Unajua kitakachotokea Synovate watamtimua kazi mkurugenzi wao ataajiriwa na serikali, watatoa tamko kwamba utafiti uliofanyika mwanzo ulikuwa na utata ( Science will be blamed here). Watagoma kufanya utafiti mwingine!!!!!!!
 
KWA NG'AZAGALA

Idadi ya vitu vya ubunge ni 315 kama ifuatavyo:-

a) VMajimbo ni 210

b) Viti maalumu 95-mgawanyo wake kwenye vyama kutegema asilimia ya wabunge wa kila chama Bungeni

c) Uteuzi wa Raisi 10

Shukrani sana hata hivyo.
 
KAMA UCHAGUZI UNGELIFANYIKA WIKI JANA MATOKEO NI..

Tetesi ndani ya chama changu tawala kulingana na kura ya maoni waliyoigharimia wao wenyewe kama uchaguzi ungelifanyika wiki iliyopita matokeo yangelikuwa kama ifuatavyo:-

A. URAISI


JINA ASILIMIA

1.0 Dr. Slaa…………………………50
2.0 JK……………………………….35
3.0 Prof. Lipumba………………….14
4.0 Wengineo………………………. 1


B. UBUNGE


CHAMA IDADI YA VITI

1.0 CHADEMA……………………………101

[B]2.0 CCM………………………………… 66[/B]

3.0 CUF……………………………………30

4.0 WENGINEO………………………………...5

5.0 TOO CLOSE TO CALL…………….. 8


C. MADIWANI

1.0 CCM……………………..52%

2.0 CHADEMA…….. 38%

3.0 CUF……………. 9%

4.0 WENGINEO……. 1%

USIBANDUKE KITUONI LINDA KURA YAKO SIKU YA UCHAGUZI



Kabla ya uchaguzi CCM imekwisha jihakjkishia viti zaidi ya 80 ambavyo wagombea wao wamepita bilka kupingwa,Je navyo vitafutwa.

Tafiti nyingine ni za kujiliwaza tu,Wewe hamasisha watu wajitokeze kupiga kua kwa wingi siyo kutoa takwimu za kupotosha watu
 
Kabla ya uchaguzi CCM imekwisha jihakjkishia viti zaidi ya 80 ambavyo wagombea wao wamepita bilka kupingwa,Je navyo vitafutwa.

Tafiti nyingine ni za kujiliwaza tu,Wewe hamasisha watu wajitokeze kupiga kua kwa wingi siyo kutoa takwimu za kupotosha watu

Kweli kabisa... at best tegemeo kubwa la Chadema ni urais. Ubunge wanaweza kutoka pasu na CCM. Inabidi tujitahidi kuwahamasisha watu wapige kura na wamchague Slaa na wagombea wake
 
Kabla ya uchaguzi CCM imekwisha jihakjkishia viti zaidi ya 80 ambavyo wagombea wao wamepita bilka kupingwa,Je navyo vitafutwa.

Tafiti nyingine ni za kujiliwaza tu,Wewe hamasisha watu wajitokeze kupiga kua kwa wingi siyo kutoa takwimu za kupotosha watu

Check hiyo figure yako, haiko sahihi. Waliopita mwanzo bila kupingwa walikuwa 10, then wakaongezeka (through mapingamizi) na kufika 17 au 20 hivi, baadaye kuna rufaa kama nne au tano hivi za CHADEMA zilikubaliwa na NEC, mojawapo ikiwa ya Masha, halafu kule mitaa ya Maswa, pia Handeni kwa Dr. Kigoda.
 
Sielewi kwanini tunapoteza mda hapa kungojea watu watoe matokeo ya kura za maoni badala ya kwenda kuwashuku watu na kuwaaomba wampe kura Doctor.
 
Back
Top Bottom