Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.
Nathani haya ni mawazo mgando. Unongelea udini Tanzania ya leo? Think twice!:nono:Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.
Toka hapa na udini wako, kashikane na Jussa msitupakazie CDM. Shenzy type!
jamani kila mtu anadini yake na anaamini kwa MUNGU wake mwenye nguvu, hv chadema wakiwa wote wakrist so wat? au wakiwa wote waislam so wat? au wakiwa wot wapagani inatusaidia nn? tunacho itaji ni kiongozi makini atakae litoa taifa letu sehem moja kwenda nyingine yenyemafanikio
tubadilike wi need cheng na sio majungu na mambo ya kipuuzi,
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.