Kama uamini sala na maombi yamempa ushindi mh joshua nassari soma hapo chini!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,144
4+(2).jpg
 
mama kilio mpiganaji aliembariki Nassari na hatimae kuwa mbunge! ''tulianza na Mungu tutamalizia na Mungu'' people's poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!
 
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.
 
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.

Hili si jukwaa la uongo so japokuwa si mwanachadema bt sipendi kabisa siasa ziwatenganishe wa TZ ndo mana mara nyingi nawapinga baadhi ya mashabiki wa CDM wanaojenga tabia ya kudhalilisha dini flan,naomba nijibu maswali yangu mawili ili nikiri kuwa kuwa sifahamu ulichoandika
(1) kokotoa kwa kutumia kanuni uliyotumia ili nithibitishe kuwa 99.9% ya viongoz wa CDM ni wakristo(onesha njia kwa ufasaha).
(2) taja shida watayoipata waislam ambayo hivi sasa hawaipati ikiwa CCM itang'olewa mamlakani.
wote mnaoandika maneno ya kishabiki ya kidini naamini hamjawahi kushuhudia madhara yake.
 
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.

Unataka sala zifanyike kwa siri kwani sisi wachawi?????????????
Kwani umelazimishwa kujiunga na CDM mpaka unaforce uthibitishiwe ???
Nenda kajiunge na NRA malaria Sugu.
 
Hivi kuna tofauti gani kati ya ccm-a na ccm-b(cuf)? Mi naona wote ni walewale na wachovu tu ila wanatofautiana majina.
 
Washabiki wa chadema bana! mkiitwa wadini mnatukana; lakini nyie kila siku mnawaita wenzenu wadini

mkuki kwa nguruwe
 
mbona mkiambia cdm kuna kamfumo kristo mnakuwa mbogo, hoja ni kuuliza kwanini kasema hivyo, pia suala la kuswaliwa mtume limetokea wapi? au ndio udini wenu mnaanza kuutoa?
 
Hili neno la udini alilipa nguvu Kikwete katika kampeini zake za 2010 hili kupunguza nguvu ya vyama vya upinzani. Dini ya mtu haiwezi kutusaidia kutatua matatizo yetu kama watanzania. Tunacho hitaji ni chama chenye mlengo wa maendeleo na kinachoweza kutatua kero zetu, kiwe na dini au kisiwe na dini, tunachotaka ni kupata viongozi bora wawe wana dini au wasiwe na dini. Viongozi mafisadi waliotufikisha hapa tulipo wote wana dini ni ama Wakristo au Waislamu. Je, dini zao zimetusaidia nini kama watanzania. Lazima tubadilike na kutoka katika fikra na mawazo mgando.
 
jamani kila mtu anadini yake na anaamini kwa MUNGU wake mwenye nguvu, hv chadema wakiwa wote wakrist so wat? au wakiwa wote waislam so wat? au wakiwa wot wapagani inatusaidia nn? tunacho itaji ni kiongozi makini atakae litoa taifa letu sehem moja kwenda nyingine yenyemafanikio
tubadilike wi need cheng na sio majungu na mambo ya kipuuzi,
 
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.
Nathani haya ni mawazo mgando. Unongelea udini Tanzania ya leo? Think twice!:nono:
 
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.

Toka hapa na udini wako, kashikane na Jussa msitupakazie CDM. Shenzy type!
 
Toka hapa na udini wako, kashikane na Jussa msitupakazie CDM. Shenzy type!

mpuuzi kabisa wewe ss unataka maombi yafanyike wapi? cdm kila mtu anaruhusiwa kuamini anachokiamn hata kama angekua muislamu angeruhusiwa kufanya anachotaka peleka unafiki wako huko kinakuuma sana bwana mdogo joshua kushinda
 
Chadema haina hata chembe cha udini na haiabudu udini wowote na tena waislam wanaipenda chadema kupita maelezo sababu kubwa ni sera za chadema na kuwapenda wananchi wote.
 
jamani kila mtu anadini yake na anaamini kwa MUNGU wake mwenye nguvu, hv chadema wakiwa wote wakrist so wat? au wakiwa wote waislam so wat? au wakiwa wot wapagani inatusaidia nn? tunacho itaji ni kiongozi makini atakae litoa taifa letu sehem moja kwenda nyingine yenyemafanikio
tubadilike wi need cheng na sio majungu na mambo ya kipuuzi,

Katika hilo umenena kwani diní ya mtu haita tatua matatizo yanayotukabili.jamani watanzania tubadilike tuache kulala kijinga.kama suala la dini kila kinawanachama ambao wanaamini katika dini mbalimbali.
 
Hebu turudi kwenye hoja badala ya kuingia kwenye upofu wa mtoa hoja na kuanza kujadili hisia. Tujiulize ni nani mwenye dini kati ya CDM na huyo bibi, CDM kama chama hakina dini ila wafuasi wake wana dini (waislam, wakristo nk nk), kila mwachama ana haki ya kuchangia chama kwa hali na mali, huyo bibi aliyefanywa maskini na sera za ccm hakuwa na mali ya kuchangia bali alitoa kile alichokuwa nacho. Sasa kusema CDM ni wadini eti kwa vile mgombea wake alipokea mchango wa huyo bibi ni upotoshaji wa ukweli uliopitiliza
 

KATIKA MILA NA DESTURI ZA WATANZANIA WENGI - WAZEE [WABIBI/WABABU] AKIKUBARIKI - HUSHIKA KICHWA - HAPO KWA MTAZAMO WANGU NAONA NI KUMWOMBEA BARAKA MPIGANAJI - ASANTE BIBI KWA BARAKA ZAKO - NA PIA KWA MPIGANAJI KUWA MNYENYEKEVU KUKUBALI KUSHIKWA KICHWA CHAKE ........KWELI JOSHUA NASSARI NI MNYENYEKEVU .......... NI WANGAPI WANGEKUBALI??? WENGINE WANAANGALIA MATAJIRI TU.........:smile-big:
 
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.

foolish. Kanisa gani sasa? Hujui kama kuna several denominations katika ukristo, kama ilivyo katika uislam? We umesomea wapi? Kama huwezi kuona ukombozi wa kweli katika cdm then u r doomed bro!
 
Nimeamini CDM ni chama cha kidini! Kwani maombi hufanyika live na hata viongozi wake 99.9% niwakristo.Kudai sio chama cha kanisa toeni udhibitisho,kwani hadi sasa wanaushirikiano wa bega kwa bega na chama cha kikristo cha CDU cha Ujerumani.Hadi sasa CDM imeshindwa kuonesha haina mlengo wa kikristo.Kwa hoja ya kukubaliwa chama na baadhi ya waislam ni kwamba waislam hao wamevutwa na hoja zilizopangwa vizuri,hususan maisha magumu na ufisadi wa CCM. Waislam pnpote walipo wajue wanalamba sukari ambayo ni sumu kali.


Ukisikia kauzu-mtindio ndo wewe haswaa! Mtoa mada anasema anaamini "SALA NA MAOMBI" au nyie mnaita "DUA" ndivyo vilimpa ushindi Joshua. Kama ulifuatilia kampeni karibu kila mahali alikokwenda aliombewa na watu wa imani mbalimbali: Wakristo, waislam na hata wa dini za jadi. Udini unatafsiri gani kwako? Au yule sheikh aliyemshushia dua alikuwa dhehebu gani la kikristo? All those of your type are a serious disgrace to this nation. Shame on you.
 
Back
Top Bottom