Kama tusipochukua hatua Tutakuja kulaumiwa na wajukuu zetu

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
sihitaji kuongea mambo mengi ila habari ndiyo hiyo!

Naona kama wameshatuelemea na hatuji tufanyaje,Sanduku la Kura limeshatengenezwa na siyo mbali sana ni kama mwaka bado!

Mkishindwa kupanga safu nzuri sasa,nawaapia mtakuja kujuta na wajukuu zenu watalaam kizazi hiki kwa maombi.Watatuona mandondocha!

Nilifanya makosa mwaka 2005,na najuta sasa kwanini sikumsikiliza John cheyo aliyeniambia simjui huyu mtu na nikawa na kiburi,inawezekana na wewe ni mmoja wao!

Hivi ulishawahi kufikiria kuwa,kama madini yakiisha,mbao zikaisha,wanyama waliopo mbugani wakaisha,Nchi itaendeshwa vipi?

Je ulishajiuliza kama mvua zisiponyesha miaka miwili ,Tanzania itapataje Umeme?


Tuna uwezo wa kuamua mapema,kazi kwenu....one year to go!

Gembe.
 
Last edited:
Hivi ulishwahi kufikiria kuwa,kama madini yakiisha,mbao zikaisha,wanyama waliopo mbugani wakaisha,Nchii itaendeshwa vipi?

Je ulishajiuliza kama mvua zisiponyesha miaka miwili ,Tanzania itapaje Umeme?

Gembe.

Gembe,
Usiseme ukweli mno, wengine tuna presha ya

kushuka! Utaua aisee!!!
 
Research zilishafanyika na Report zipo wameziweka kwenye Makabati zinapigwa Vumbi. Kinachofanyioka ni Siasa tu......Porojoporojo na Ujanja ujanja ili wachache wafaidike.

Sidhani kama wanaona 10yrs to come? wanangalia leo watakula nini............... eti kesho itajipa yenyewe.

Kazi tunayo na Mungu atusaidie
 
Research zilishafanyika na Report zipo wameziweka kwenye Makabati zinapigwa Vumbi. Kinachofanyioka ni Siasa tu......Porojoporojo na Ujanja ujanja ili wachache wafaidike.

Sidhani kama wanaona 10yrs to come? wanangalia leo watakula nini............... eti kesho itajipa yenyewe.

Kazi tunayo na Mungu atusaidie


Ukiangalia hata vision ya wanasiasa na viongozi wetu wote ni ya "kesho kwani utakuwepo? jali ya leo."

Kwa kweli ni kitu cha kusikitisha sana kuona hata maprofesa waliojaa serikalini hawawezi kusimama na kusema huu ndio ukweli!

Suala kama la umeme, kilimo, maji na mambo mengine utadhani watu wameahidiwa na Mungu kwamba mvua zitakuwepo milele. Hakuna anayejiuliza kwamba hivi mvua isipokuwepo kwa miaka 5 je wananchi wataishi vipi?

Inasikitisha!!
 
Hivi ulishwahi kuikiria kuwa,kama madini yakiisha,mbao zikaisha,wanyama waliopo mbugani wakaisha,Nchii itaendeshwa vipi?

Je ulishajiuliza kama mvua zisiponyesha miaka miwili ,Tanzania itapaje Umeme?


Kwa taarifa yako Miti ya mbao huko Mufindi Wakenya wameshaimaliza , ndiyo maana hata magogo ya nguzo za umeme hakuna wanataka kuagiza South africa!!!! rotten Gov. xxx****&&&&&2***2***88** !!!!!!
 
Gembe,
Usiseme ukweli mno, wengine tuna presha ya

kushuka! Utaua aisee!!!

Pole Mkuu,

Ila inatisha sana,Mie nimeanza kuogopa!

angalia Picha ya GT,kama Mjini tu watu wanafanyia Mitihani nje kwenye miti hapo mbagala tu,Je huko Nyumbani kemakorere vipi?

Ukiangalia hata vision ya wanasiasa na viongozi wetu wote ni ya "kesho kwani utakuwepo? jali ya leo."

Kwa kweli ni kitu cha kusikitisha sana kuona hata maprofesa waliojaa serikalini hawawezi kusimama na kusema huu ndio ukweli!

Suala kama la umeme, kilimo, maji na mambo mengine utadhani watu wameahidiwa na Mungu kwamba mvua zitakuwepo milele. Hakuna anayejiuliza kwamba hivi mvua isipokuwepo kwa miaka 5 je wananchi wataishi vipi?

Inasikitisha!!

Mie nahisi viongozi wetu watakuwa merogwa ..haingii akilini kabisa,kwanini siye ni masikini..

hata ile picha ya jana kati ya Jk an Obama,Inaonekana Obama akishanga sana,inakuwaje huyu jamaa ana matatizo yamejaa kurasa nne na wakti huo huo kuna Mlima kilimajaro ,madini na kila kitu..

Mtu kama ukishindwa unasema nimeshindwa,naombeni muda au kama vipi unaachia ngazi tu
Hivi yale maombi wanyofanya huko Tz kila mwaka huwa yanasaidia kweli,au huwa wanawaombea ili wanedelee kutawala?

Nchi imeendeshwa kwa lais sez-faire kwa muda mrefu. Tuchukue hatua!!!!!!

yaani mie sielewi kabisa,sijui mwaka 2010 wataeleza mafanikio gani?labda tulishinda miss earth,na thabeet atakuwa amepata timu Us
 
In reality we are late, lets pray that for God Almighty to intervene otherwise mhh hali ndivyo sivyo.
 
sihitaji kuongea mambo mengi ila habari ndiyo hiyo!

Naona kama wameshatuelemea na hatuji tufanyaje,Sanduku la Kura limeshatengenezwa na siyo mbali sana ni kama mwaka bado!

Mkishindwa kupanga safu nzuri sasa,nawaapia mtakuja kujuta na wajukuu zenu watalaam kizazi hiki kwa maombi.Watatuona mandondocha!

Nilifanya makosa mwaka 2005,na najuta sasa kwanini sikumsikiliza John cheyo aliyeniambia simjui huyu mtu na nikawa na kiburi,inawezekana na wewe ni mmoja wao!

Hivi ulishawahi kufikiria kuwa,kama madini yakiisha,mbao zikaisha,wanyama waliopo mbugani wakaisha,Nchi itaendeshwa vipi?

Je ulishajiuliza kama mvua zisiponyesha miaka miwili ,Tanzania itapataje Umeme?


Tuna uwezo wa kuamua mapema,kazi kwenu....one year to go!

Gembe.

nafikiria nuclea enegy is the best ask Eliasi Mahegere how
 
sihitaji kuongea mambo mengi ila habari ndiyo hiyo!

Naona kama wameshatuelemea na hatuji tufanyaje,Sanduku la Kura limeshatengenezwa na siyo mbali sana ni kama mwaka bado!

Mkishindwa kupanga safu nzuri sasa,nawaapia mtakuja kujuta na wajukuu zenu watalaam kizazi hiki kwa maombi.Watatuona mandondocha!

Nilifanya makosa mwaka 2005,na najuta sasa kwanini sikumsikiliza John cheyo aliyeniambia simjui huyu mtu na nikawa na kiburi,inawezekana na wewe ni mmoja wao!

Hivi ulishawahi kufikiria kuwa,kama madini yakiisha,mbao zikaisha,wanyama waliopo mbugani wakaisha,Nchi itaendeshwa vipi?

Je ulishajiuliza kama mvua zisiponyesha miaka miwili ,Tanzania itapataje Umeme?


Tuna uwezo wa kuamua mapema,kazi kwenu....one year to go!

Gembe.

Maamuzi yako mikononi mwetu. Kura yako ni ya muhimu sana. Tusikubali kushawishika na kuuza utu wetu kwa chakula cha siku moja. Hizi khanga na T-shit zitatumaliza.
Unapokubali kurubuniwa njia yoyote ile iwe ni pesa/khanga na T-shit, hiyo ndo inakuwa price tag yako (Kitambulisho cha dhamani yako)kwa muda wa miaka mitano.
 
Back
Top Bottom