Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
sihitaji kuongea mambo mengi ila habari ndiyo hiyo!
Naona kama wameshatuelemea na hatuji tufanyaje,Sanduku la Kura limeshatengenezwa na siyo mbali sana ni kama mwaka bado!
Mkishindwa kupanga safu nzuri sasa,nawaapia mtakuja kujuta na wajukuu zenu watalaam kizazi hiki kwa maombi.Watatuona mandondocha!
Nilifanya makosa mwaka 2005,na najuta sasa kwanini sikumsikiliza John cheyo aliyeniambia simjui huyu mtu na nikawa na kiburi,inawezekana na wewe ni mmoja wao!
Hivi ulishawahi kufikiria kuwa,kama madini yakiisha,mbao zikaisha,wanyama waliopo mbugani wakaisha,Nchi itaendeshwa vipi?
Je ulishajiuliza kama mvua zisiponyesha miaka miwili ,Tanzania itapataje Umeme?
Tuna uwezo wa kuamua mapema,kazi kwenu....one year to go!
Gembe.
Last edited: