Kama tendo la ndoa chungu

Stahmy Junior

Member
Mar 11, 2011
82
16
Hivi jamani laiti kama unapofanya tendo la ndoa ungehisi uchungu kama wa shubiri na sio utamu.

Je wangapi wangediriki kufanya ngono?
 
Simpooo....!kam ingekua hivyo basi shubiri ingekua tamu kama tendo la ndo.
so tungekula shubiri, alaf ungetuuliza "hivi ma shubiri ingekua chungu kama tendo la ndoa nan angeila"??
 
Simpooo....!kam ingekua hivyo basi shubiri ingekua tamu kama tendo la ndo.
so tungekula shubiri, alaf ungetuuliza "hivi ma shubiri ingekua chungu kama tendo la ndoa nan angeila"??

sahihi kabisa tena ingelambwa asubuhi mchana na usiku hadi makazini.
 
Simpooo....!kam ingekua hivyo basi shubiri ingekua tamu kama tendo la ndo.
so tungekula shubiri, alaf ungetuuliza "hivi ma shubiri ingekua chungu kama tendo la ndoa nan angeila"??

Kweli kabisa ni sawa na kusema hivi macho yangekuwa kwapani tungeonaje????

Simple tungekuwa tunatembea makwapa yapo juu tu.
 
Simpooo....!kam ingekua hivyo basi shubiri ingekua tamu kama tendo la ndo.
so tungekula shubiri, alaf ungetuuliza "hivi ma shubiri ingekua chungu kama tendo la ndoa nan angeila"??

He he he dah ukigeuza hvy n simpo kama unavyodai sasa rejea swal na uljbu kama lilvyo
 
Tatzo wabongo tunapenda kurahcsha v2 swal dogo tunaleta complication kibao,mlioshndwa majibu nahc n wazinifu wa kuaminika au vp wadau?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom