mharakati usimpige bit Motown maana anayo haki kujua nani anaweza kuwa kiongozi wake na impact ya uongozi wake kwa maisha yake.Kama anaona hao wanamtandao hawana ni sifa za kuwa Maboss wake 2015 ni hake yake kusema na kuhakikisha kweli hawawezi kuwa viongozi wa Taifa ili.We cant let things go to dogs as it happened in 2005 and 2010.
marais wote kuanzia sasa watatoka kwenye mitandano yao..hata huko upinzani kutakua na kamtandao nyuma ya kila mgombea na watasuluhisha matatizo kwa muda wakati wa uchaguzi na kuendelea tena na mitandao yao wakishinda au zaidi na wazi wazi wakishindwa. Lowassa na Rostam wametuingiza kwenye siasa hizi na Mkapa alizibariki basi tena hatuna jinsi