Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Ushauri wangu ni huo. Inaonekana magamba wameanza kupumua kukosekana kwa jembe hili Bungeni. Dr wa ukweli arudi kuwahenyesha zaidi kwa ufisadi wao.
Ushauri wangu ni huo. Inaonekana magamba wameanza kupumua kukosekana kwa jembe hili Bungeni. Dr wa ukweli arudi kuwahenyesha zaidi kwa ufisadi wao.
Siungi mkono hoja...
Dr Slaa anafanya kazi kubwa sana ya kujenga chama. Hii stability iliyopo CDM kwa sasa ni kazi ya Dr Slaa, ukimuongezea majukumu mengine maana yake kuna mambo yatadorora, hasa kukijenga chama. Pia akigombea mtu mwingine anayekubalika itakuwa imeongeza wigo wa viongozi ndani ya chama. Kumbuka CDM huenda ikachukua nchi 2015 usitegemee akina Zitto na Mnyika kuchukua nafasi zote, lazima chama kiwape nafasi watu wengi zaidi. Hujiulizi kwa nini Dr Slaa anawanyima usingizi magamba? Kwa nini Kichaa Lusinde alikuwa anamtukana zaidi Dr kuliko watu wengine kwenye kampeni?
Wapendwa wana jf wa Arusha na Tanzania nzima.Hivi kama Kipenzi chetu Lema akizuiliwa kugombea, Chadema imsimamishe nani? Kwanini tusiwaombe viongozi wa cdm wamsimamishe Bata au Nguruwe halafu tumpitishe kwa ushindi wa kishindo kwa ajili tu ya kuyakomoa magamba? Nawasilisha.
mi nataka awe bata.Unataka ikusimamishe wewe?