Ndugu wadau katika kile kinachodaiwa kuwa ni mbinu chafu za nyinyiemu za kuzima moto mkali wa cdm usiozimika hivyo kutwa uwanja uliokuwa ukitumiwa na cdm kwa ajili ya mikusanyiko kwa wamachinga. Hata hivyo tunaishukuru cdm maana wao ndio chachu iliyosababisha wamachinga kupata eneo la biashara zao. Kwa hatua hiyo,bado nyinyiemu haijaweza kuzima moto wa cdm maana bado mikutano inaendelea kama kawa maeneo ya wazi yako mengi.