DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Hakika wewe kama ni si mswahili nimesema usisome mlolongo huu [thread] HAYA SASA HII SHATI YA WEWE??????
Na eti kweli nimeambiwa Mwalimu Mkuu ni Mamaako eeeeeeeeeh??????
Na unakaa wapi weye Kigogo kwa mbele au unakalia Upanga kwa Nyuma???
Ukishindwa nijibu nitakuuliza kwa kilugha changu manake nimesema wewe kama si Mswahili Usisome na wewe umelazimisha kusoma labda kwa kilugha/kabila yangu utanielewa nasema hivi "YEGO WAHIKA WAGENDA MAJITA KUXAMAYO?"
Na eti kweli nimeambiwa Mwalimu Mkuu ni Mamaako eeeeeeeeeh??????
Na unakaa wapi weye Kigogo kwa mbele au unakalia Upanga kwa Nyuma???
Ukishindwa nijibu nitakuuliza kwa kilugha changu manake nimesema wewe kama si Mswahili Usisome na wewe umelazimisha kusoma labda kwa kilugha/kabila yangu utanielewa nasema hivi "YEGO WAHIKA WAGENDA MAJITA KUXAMAYO?"