Kama serikali itang'ang'ania kuwalipa DOWANS; CHADEMA kuitisha maandamano ya nchi nzima

kabla ya kuanza maandamano.. hakikisheni mmekula vizuri, hela ya matumizi muache nyumbani.... na muage familia zenu... Nawatakia virungu vyema
 
Kama serikali ni ya kifisadi kwa kiasi ambacho Chadema wanawahakikishia wananchi. Kumbe maandamano kupinga malipo ni kupoteza muda, kwa sababu hata wasipolipa bado hakuna hakika kama hiyo pesa itatumika kwa maslahi ya umma.

As for me, thats pure politics jamaa. Kutumia kila kete itakayoweza kukusaidia kuchukua madaraka, wananchi tunaweza kunufaika lakini siyo kwa "nia njema" ya wanavyama. Hawajawahi kuwa na nia njema, hawana na hawatowahi kuwa...
 
Tanazania kuna mahakama??
kama kuna mahakama mbona dowans walikwenda UK??
usiwe mrahisi kama carbon paper wewe.


Ni chombo gani kimetoa hukumu huko UK?

Hakuna mbadala, kisheria hata Chadema wanasema tulipe tofauti ni sehemu ya kuitoa hiyo pesa.


Chadema wanasema pesa hiyo itokane na kuwanyang'anya mafisadi.
Najiuliza, hivi hakukuwa na haja ya kuwafilisi mafisadi kiukweli kweli mpaka tushindwe kesi?!


Kama wangekuwepo watu "wenye nia njema" na taifa hili, naamini tangu haya mambo yaanze hiyo pesa pengine hata na penati ingukuwa imeshapatikana na mjadala ungekuwa rahisi sana. Kwamba sehemu ya hiyo pesa tulipe deni.


Siwaamini wanasiasa, wote wako hivyo. Mambo anayoweza kuyafanya Jk anaweza kuyafanya Ws, Il na mwingine yeyote hata sibabaishwi na idadi ya wapenzi wao.


Jk alikubalika sana 2005, alihesabika kuwa mkombozi lakini mambo hayakwenda kama ilivyotegemewa. Watanzania tunasemaje kuwa tumebadilika, kuwa siyo wale wa enzi zile kama hatuwezi kujifunza hata na vitu hivi vidogo?!


Hakuna mwenye nia njema na taifa hili na tunaweza kuwachallenge kila mwanasiasa, kila chama kwa hoja tofauti...


The King.
 
Mtu akikaribia kufa yani hukifuata kwa nguvu kifo! Ccm ina kifuata kwa nguvu zote kifo!!
 
Hiyo hela italipwa na hakuna mtakacho kifanya zaidi ya kupigwa virungu. Nyie mashabiki wa CDM,mkipata vilema kwenye hizi purukushani hao wake zenu watalishwa na nani?
 
Natoa tamko haya maandamano yaanzie bilicanas kwa mbowe mpaka magogoni. Na tusiruhusu mbowe kutupiga picha na kuenda kuombea msaada kwa mabalozi na vyama wafadhili wa CDM kutoka nje kwa maslahi yake binafsi.

Watanzania tupiganie nchi yetu wenyewe sio matatizo yetu watu wanayafanya dili kama tulivyo andamana kanda ya ziwa,mby,iringa nk huku wananchi tukizani tumepata mkombozi kumbe nao wanatufanya chanzo cha mapato kutoka kwa wahisani.

CDM wanatumia matatizo ya watanzania kama NGO za tanzania wanavyotumia matatizo ya watanzania kujipatia maslahi binafsi. wakazi wa ubungo hawata kuuliza mnyika umetoa matamko mangapi pale makao makuu chadema2015 bali watauliza ahadi ulizo ahidi mbona hujatekeleza?
 
Natoa tamko haya maandamano yaanzie bilicanas kwa mbowe mpaka magogoni.Na tusiruhusu mbowe kutupiga picha na kuenda kuombea msaada kwa mabalozi na vyama wafadhili wa CDM kutoka nje kwa maslahi yake binafsi.Watanzania tupiganie nchi yetu wenyewe sio matatizo yetu watu wanayafanya dili kama tulivyo andamana kanda ya ziwa,mby,iringa nk huku wananchi tukizani tumepata mkombozi kumbe nao wanatufanya chanzo cha mapato kutoka kwa wahisani.CDM wanatumia matatizo ya watanzania kama NGO za tanzania wanavyotumia matatizo ya watanzania kujipatia maslahi binafsi.wakazi wa ubungo hawata kuuliza mnyika umetoa matamko mangapi pale makao makuu chadema2015 bali watauliza ahadi ulizo ahidi mbona hujatekeleza?
Kwa msimamo na mtazamo kama huu, ama kweli Tanzania ni ya wenyewe na wenyewe ni akina Nape, Riziwani, Mchemba na mult bilionea Rostam Azizi, sisi wengine ni wakimbizi tu.
 
Kw mtazamo wangu Maandamano haya Kupinga Dowans kulipwa yasingesimamiwa na chama cha siasa kwa sababu yatachukua sura ya siasa na kuzuia watu wasio ambatana na chama chochote kushiriki.Ingekuwa vizuri Civil Societies zikaandaa maandamano haya ili kupata uungwaji mkono mkubwa zaidi katika suala hili lenye mtazamo wa maslahi ya kitaifa.
Nawasilisha
 
Tamko hilo limetolewa na ndugu John Mnyika
Amesema cdm inaitaka serikali kutoa tamko la kutolipa pesa hiyo ndani ya siku 30 zaidi ya hapo yataitishwa maandamano ya nchi nzima!

Na kwanini wasilipwe? na ile mitambo waliyoileta waliileta kama sadaka? mnancheksha!

Mnyika anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wazuga Watanzania, kila deni linapocheleweshwa kulipwa ndio linazidi, tazama hukumu ya ICC na baada ya kulichelewesha nahukumu iliyotolewa na mahakama ya uingereza in between na sasa limefika ngapi?

Deni ni lazima kulipwa, the only way out, ni kukaa na kuomba kulilipa kidogo kidogo na kusiwe na "interest" zaidi ya hapo ni kujitafutia matatizo zaidi.

Biashara za kimataifa si kama kuuziana mikungu ya ndizi mahakama ya ndizi, na hata hapo hakuna asiyelipwa. Mnanshangaza.
 
Kama serikali ni ya kifisadi kwa kiasi ambacho Chadema wanawahakikishia wananchi. Kumbe maandamano kupinga malipo ni kupoteza muda, kwa sababu hata wasipolipa bado hakuna hakika kama hiyo pesa itatumika kwa maslahi ya umma. As for me, thats pure politics jamaa. Kutumia kila kete itakayoweza kukusaidia kuchukua madaraka, wananchi tunaweza kunufaika lakini siyo kwa "nia njema" ya wanavyama. Hawajawahi kuwa na nia njema, hawana na hawatowahi kuwa...
kwa hy tukae tukisubiri huruma ya MUNGU
 
Kw mtazamo wangu Maandamano haya Kupinga Dowans kulipwa yasingesimamiwa na chama cha siasa kwa sababu yatachukua sura ya siasa na kuzuia watu wasio ambatana na chama chochote kushiriki.Ingekuwa vizuri Civil Societies zikaandaa maandamano haya ili kupata uungwaji mkono mkubwa zaidi katika suala hili lenye mtazamo wa maslahi ya kitaifa.
Nawasilisha

Usijidangane kuwa kuandamana ni kwa maslahi ya taifa, maslahi ya taifa ni kulipa deni. Rejea Tiny Rowlands case wakati wa Nyerere. Alikataa kulipa uone vipi tulisulubiwa.

Kuna njia mbadala za rahisi sana katika hili sakata lakini magwanda hawazijui na hatuwapi maujanja.
 
Na kwanini wasilipwe? na ile mitambo waliyoileta waliileta kama sadaka? mnancheksha! Mnyika anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wazuga Watanzania, kila deni linapocheleweshwa kulipwa ndio linazidi, tazama hukumu ya ICC na baada ya kulichelewesha nahukumu iliyotolewa na mahakama ya uingereza in between na sasa limefika ngapi? Deni ni lazima kulipwa, the only way out, ni kukaa na kuomba kulilipa kidogo kidogo na kusiwe na "interest" zaidi ya hapo ni kujitafutia matatizo zaidi. Biashara za kimataifa si kama kuuziana mikungu ya ndizi mahakama ya ndizi, na hata hapo hakuna asiyelipwa. Mnanshangaza.
tunaotahwa kulipa deni ni watanzania na mmilÃ*ki wa dowans ni nani?
 
Uwezi kuamini kama huyu Mbunge wa CDM ndio anatoa hii kauli.
Kama mtu anataka kumjua ani-PM

hahahahahahahaahaha! dah! aisee! dogo siwezi kuwa mwanasiasa kamwe, naishi kwa kutegemea professional yangu.
 
Usijidangane kuwa kuandamana ni kwa maslahi ya taifa, maslahi ya taifa ni kulipa deni. Rejea Tiny Rowlands case wakati wa Nyerere. Alikataa kulipa uone vipi tulisulubiwa.

Kuna njia mbadala za rahisi sana katika hili sakata lakini magwanda hawazijui na hatuwapi maujanja.

nani analipwa? JK au RA? tuambie mmiliki wa dowans kwanza.
 
Natoa tamko haya maandamano yaanzie bilicanas kwa mbowe mpaka magogoni.Na tusiruhusu mbowe kutupiga picha na kuenda kuombea msaada kwa mabalozi na vyama wafadhili wa CDM kutoka nje kwa maslahi yake binafsi.Watanzania tupiganie nchi yetu wenyewe sio matatizo yetu watu wanayafanya dili kama tulivyo andamana kanda ya ziwa,mby,iringa nk huku wananchi tukizani tumepata mkombozi kumbe nao wanatufanya chanzo cha mapato kutoka kwa wahisani.CDM wanatumia matatizo ya watanzania kama NGO za tanzania wanavyotumia matatizo ya watanzania kujipatia maslahi binafsi.wakazi wa ubungo hawata kuuliza mnyika umetoa matamko mangapi pale makao makuu chadema2015 bali watauliza ahadi ulizo ahidi mbona hujatekeleza?

kifochamende
 
Maandamano yasiishie kupinga kulipwa dowans tu bali pia yawe ya kuiondoa hii serikali ya kifisadi.Maisha yetu mabaya kuliko ya jana nahisi kufikia kesho hali itakuwa mbaya zaidi.
 
Back
Top Bottom