Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Una maana mkataba wa Richard una saini ya Mkurugenzi wa Tanesco?
Sijui una signature ya nani. Lakini mkataba si kati ya Tanesco na Richard?
Tanesco ni mtu binafsi (a corporate body) na hivyo anasimamia mikataba yake mwenyewe na kudaiwa yeye, na kufilisiwa yeye.