Kama polisi wameshindwa kukamata wauaji hawa basi watangaze kuwa wameshindwa kazi

Deofm

JF-Expert Member
Feb 27, 2012
383
68
Waheshimiwa wana JF,
Duniani kote haki ya mtu kuishi ni haki ya msingi na huwa inalindwa kwa garama yoyote ile, jukumu hilo kwa kawaida limekabidhiwa kwa jeshi la polisi na vyombo vingine vyote vya usalama. Bila kujali hadhi ya mtu aliyeuawa, polisi walitakiwa wawakamate wauji na kuwafikisha mahakani. Lakini cha kushangaza ni pale anapotokea raia na kuwahimiza polisi watekeleze wajibu wao lakini wanaanza kutishia kumkamata na kumfungulia mashataka ya uchochezi. Nadhani wakuu mnakumbuka ishu ya Slaa na RPC wa Mwanza.

Kwa hii hali ya mauji kuendelea nchini kwanini waziri na wasaidizi wake katika Taasisi hii wasiwajibike??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom