Kama Obama anatumia basi, viongozi wetu wanashindwa nini kuachana BMW?

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Nimefurahishwa sana na kiongozi na Raisi wa Marekani wa USA kutumia basi;

Mfano kwenye maonyesho wabunge au kiongozi wa nchi akitumia basi ataokoa shillingi ngapi
 

Attachments

  • obama-kicks-off-bus-tour-ohio-campaigning.jpg
    obama-kicks-off-bus-tour-ohio-campaigning.jpg
    33.4 KB · Views: 273
  • Obama Bus Tour.jpg
    Obama Bus Tour.jpg
    24.2 KB · Views: 284
  • obama.jpg
    obama.jpg
    45.5 KB · Views: 235
Usikurupuke, hili ni basi maalum kwa ajili ya kampeni, wala sio kwamba analitumia kwa safari zake za kikazi za kila siku!
 
Usikurupuke, hili ni basi maalum kwa ajili ya kampeni, wala sio kwamba analitumia kwa safari zake za kikazi za kila siku!

Kuna tatizo gani wabunge wkija Dar es salaam kwa basi

au kiongozi wa juu kwenda kwenye ufunguzi au sherehe za saba saba kwa basi ; ataokoa mafuta kiasi gani; na basi moja linabeba watu 45 ; wkt angeenda na gari ndogo 20; parking matatizo; think before you urge uchumi wa dunia unateteleka tufunge mkanda kuanzia viongozi
 
unajua thamani ya hilo basi wewe! ile ya radar na ndege ya rais ni cha mtoto,,,hapo hatutakula nyasi tutakula mavi!
 
Kaka hapo umekurupuka. Hilo basi dhamani yake ni karibu BWM unazosema wewe 5.
 
Kaka hapo umekurupuka. Hilo basi dhamani yake ni karibu BWM unazosema wewe 5.

article-0-0C83762400000578-572_634x642.jpg


Russian President Dmitry Medvedev and Prime Minister Vladimir Putin talk as they on bike ride in the sunshine , outside Moscow.
 
basi hilo ni la kampeni. Kumbuka Rais wa Marekani hafanyi ziara za kukagua miradi ya maendeleo. hapa huwa anaenda mkoani kufungua tawi ya chama cha Ushirika!
 
Mkubali mkatae matumizi ya rasilimali za Tanzania ni mabovu sana!
Msafara wa raisi wa Tanzania sio chini ya kilimo kwanza 20! Landrover na landcruiser za polisi usiseme!
Do we need those cars! Kwa ulinzi wa JK kwenda kwenye maonyesho sabasaba kusalimiana na wadada wa kizungu?
Acha shughuli za kiuchumi zinazokwamishwa kufunga barabara eti raisi anapita.
Tunatumia nguvu kubwa sana tukihisi tuna maadui wengi sana wa raisi wa nchi hii dhoofu!
 
Wewe unadhani hilo basi la rais wa Marekani ni kama basi la Najmunisa? Unacheza wewe....
 
Kuna tatizo gani wabunge wkija Dar es salaam kwa basi

au kiongozi wa juu kwenda kwenye ufunguzi au sherehe za saba saba kwa basi ; ataokoa mafuta kiasi gani; na basi moja linabeba watu 45 ; wkt angeenda na gari ndogo 20; parking matatizo; think before you urge uchumi wa dunia unateteleka tufunge mkanda kuanzia viongozi
Enzi za Mwalimu wabunge walikuwa wakienda bungeni kama hivi:

36622_10151026929392009_1001510325_n.jpg
 
Back
Top Bottom