ha ha ha!mkuu kwa 300,000 naweza nunua hata 10!ila running cost naweza kuweka poni mke!any way wazo lako zuri limenifurahisha!
Nikweli hayafai hata kidogo maana chanzo cha habari za magari hayo kilisema yameenda over 150,000 KM maana yake fuel consumption ipo around 3 to 4 km per litre sasa piga hizo 25 km toka kwako utahitaji karibu litre 8 per trip au litre 16 kwenda na kurudi (achilia mbali foleni za dar).