Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,654
- 13,475
wakuu, heshima mbele!
nimevumilia kugombania daladala kila nitokapo na kurudi nyumbani nimechoka!!nimeamua potelea mbali kama noma na iwe noma na mm nataka nishiriki kuongeza foleni ya magari Dar!
naomba mnisaidie yafuatayo!
1.nimejikusanya na bajeti yangu inafikia 13m!
2.je kwa hela hiyo naweza kuagiza Mitsubish pajero i10?
3.nina stay 25 km hadi kazini kwangu,je nitahitaji lita ngapi ya mafuta go and return?
naomba kuwasilisha, mkinishauri na mambo mengine mnayodhani yatanisaidia ili nisiingie kichwa kichwa!
nimevumilia kugombania daladala kila nitokapo na kurudi nyumbani nimechoka!!nimeamua potelea mbali kama noma na iwe noma na mm nataka nishiriki kuongeza foleni ya magari Dar!
naomba mnisaidie yafuatayo!
1.nimejikusanya na bajeti yangu inafikia 13m!
2.je kwa hela hiyo naweza kuagiza Mitsubish pajero i10?
3.nina stay 25 km hadi kazini kwangu,je nitahitaji lita ngapi ya mafuta go and return?
naomba kuwasilisha, mkinishauri na mambo mengine mnayodhani yatanisaidia ili nisiingie kichwa kichwa!