Ipi dot com
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 301
- 113
Salaam, kwa ufinyu wangu wa mawazo nadhani ulikuwa wakati muafaka wa mh pinda kukaa pembeni.
Sasa tunapata picha halisi ya serikali ya jk na maswahiba wake.
Sasa naelewa kwa nini magufuri alisema anatamani angekuwa mbunge wa kawaida tu.
Sasa tunapata picha halisi ya serikali ya jk na maswahiba wake.
Sasa naelewa kwa nini magufuri alisema anatamani angekuwa mbunge wa kawaida tu.