Cha Ukwee
Member
- Dec 17, 2010
- 31
- 0
salaam alekyum ndugu wana jamii!
Una MAHABUBA kwa miaka kadha wa kazaa sasa,na penzi letu lilikua m'banano na moto moto...adi mkazoeana na mkachukuliana ka hakuna namna nyingine yakuwatofautisha zaidi ya yoote vitu vingi ambavyo man alikua m bishi kufanya au kuitikia wito juu ya kitu au jambo fulani ukaamua kushirikia na kuanza kufanya vile mpenzi wako anavyotaka...
LAKINI sasa yuleyule demu aliyekulazimisha na kukutumbukiza katika namna io ya mapenzi yupo maili nyingi kinadharia na kimatendo juu yako kwani simu yako kwa maana ya msg au kupiga ni karaa kwake,ikitokea siku upo nae anazima simu ili watu wengine eti wasimpate,zaidi na zaidi siku izi vikao na shughuri 'HEWA' za ofisi zimekua nyingi kiasi ataki kuonana...
TATIZO LANGU naomba ushauri NAWEZAJE KUMUACHA HUYU DEMU NA KUMSAHAU KABISA AIJULISHI NI NAMNA GANI NAMPENDA NA ITANIGHARIMU...
AKSANTE WADAU NA WATWANA...NIMEWASILISHA.
Una MAHABUBA kwa miaka kadha wa kazaa sasa,na penzi letu lilikua m'banano na moto moto...adi mkazoeana na mkachukuliana ka hakuna namna nyingine yakuwatofautisha zaidi ya yoote vitu vingi ambavyo man alikua m bishi kufanya au kuitikia wito juu ya kitu au jambo fulani ukaamua kushirikia na kuanza kufanya vile mpenzi wako anavyotaka...
LAKINI sasa yuleyule demu aliyekulazimisha na kukutumbukiza katika namna io ya mapenzi yupo maili nyingi kinadharia na kimatendo juu yako kwani simu yako kwa maana ya msg au kupiga ni karaa kwake,ikitokea siku upo nae anazima simu ili watu wengine eti wasimpate,zaidi na zaidi siku izi vikao na shughuri 'HEWA' za ofisi zimekua nyingi kiasi ataki kuonana...
TATIZO LANGU naomba ushauri NAWEZAJE KUMUACHA HUYU DEMU NA KUMSAHAU KABISA AIJULISHI NI NAMNA GANI NAMPENDA NA ITANIGHARIMU...
AKSANTE WADAU NA WATWANA...NIMEWASILISHA.