Kama ni mtaalamu wa computer

Radio Producer

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
724
295
Naombeni msaada wana JF, natumia PC yenye BE Operating System (BEOS) yaani imegoma kabisa kubadilisha tarehe ziwe 2011, inakomea 2010 tu nifanyeje? naombeni msaada wenu!
Asante.
 
Vipi kutoka contorl panel,au nenda kwenye bios,kwa nini usitumiw windows
 
Vipi kutoka contorl panel,au nenda kwenye bios,kwa nini usitumiw windows

Asante ndugu yangu wacha nijaribu! Natumia hii kwa sababu ya Radio. Radio yangu inatumia Tune Tracker Radio automation system ambayo inajitangaza yenyewe tu! so yenywe iko supported na BEOS tu. Jana nilikuwa nainsert vitu fulani ghafla ikabadili tarehe na kuandika 04/23/2010. piga ua nikauijaribu kila kona imegoma kuandika 2011. Sasa radio inarun last year msaada unahitajika pliz!
 
kama ina restore point restore to da previous date kabla hauja fanya hiyo installation
 
heh haya ndio madudu gani tena, ebu ngoja nigoogle na mie nijue, radio ina run kwenye computer? mbona mi niko hewani kabisa
 
Mimi pc yangu inatumia windows xp sp2 kama os, nimefunga tv tuner aina ya honestech 2.5 SAA7130TVcard lakini nikiinstall program yake kutoka kwenye cd yake inapofika sehemu ya kuinstall driver ambayo ni 713xDrvInstall.exe inanialert kuwa window haiitambui software hii eti haina logo ya microsoft windows, hivyo kuendelea kuiinstall itavuruga utendajikazi wa system sasa hivi au baadae..acha kuinstall mara moja! muone aliyekuuzia hii software au kama hujali matokeo ya haya unaweza kuendelea kuinstall.
Siku moja niliamua kuistall,ilikubali kuonesha lakini baada ya siku 4 ikagoma na kila kitu ktk system hakikufanyakazi sawasawa ndipo nilipoamua kuformat na kupanga tena kila kitu upya.uwezekano wa kumpata aliyeniuzia haupo hivyo naombeni msaada wenu wataalam ili niweze kutumia TV kwenye PC.
Samahani mleta thread kwa kuingilia lkn naamini heading yako nzuri itadraw attentions za wataalam hapa ambapo na shida hii yangu wataiona. Natanguliza shukrani! :help:
 
Mimi pc yangu inatumia windows xp sp2 kama os, nimefunga tv tuner aina ya honestech 2.5 SAA7130TVcard lakini nikiinstall program yake kutoka kwenye cd yake inapofika sehemu ya kuinstall driver ambayo ni 713xDrvInstall.exe inanialert kuwa window haiitambui software hii eti haina logo ya microsoft windows, hivyo kuendelea kuiinstall itavuruga utendajikazi wa system sasa hivi au baadae..acha kuinstall mara moja! muone aliyekuuzia hii software au kama hujali matokeo ya haya unaweza kuendelea kuinstall.
Siku moja niliamua kuistall,ilikubali kuonesha lakini baada ya siku 4 ikagoma na kila kitu ktk system hakikufanyakazi sawasawa ndipo nilipoamua kuformat na kupanga tena kila kitu upya.uwezekano wa kumpata aliyeniuzia haupo hivyo naombeni msaada wenu wataalam ili niweze kutumia TV kwenye PC.
Samahani mleta thread kwa kuingilia lkn naamini heading yako nzuri itadraw attentions za wataalam hapa ambapo na shida hii yangu wataiona. Natanguliza shukrani! :help:

kama ni honestech jaribu kutumia software yao nyengine inakuwa na driver za hiyo tv tuner Easy Video Editor 3.0 pia inaweza kubali inapatikana http://www.honestech.com/main/TrialDownloads.asp chukua 30-day trial ujaribu
 
heh haya ndio madudu gani tena, ebu ngoja nigoogle na mie nijue, radio ina run kwenye computer? mbona mi niko hewani kabisa

Aisee hata mi najishangaa,hivi hili li BEOS ni likitu gani? Kweli JF ni shule,dah!
 
Hivi kumbe kuna os inatwa BEOS do asante kwa shule ngoja niangalie nitaipataje......
je huwezi kurekebishia kwenye bios
 
heh haya ndio madudu gani tena, ebu ngoja nigoogle na mie nijue, radio ina run kwenye computer? mbona mi niko hewani kabisa

Ndugu yangu ukipenda una ajiri watangazaji 15 ukipenda unanunua computer 1 na software moja ya automation na una ajiri watangazaji hata 2 na monitor wa hiyo program 1 kazi inakwenda kama kawa ila kwa live program kama simu zenyewe watakaa watangazaji
 
Hivi kumbe kuna os inatwa BEOS do asante kwa shule ngoja niangalie nitaipataje......
je huwezi kurekebishia kwenye bios

Mkuu ninavyojua BeOS ni Be Operating system ni kama window kazi yake ni moja ila kwenye hii ni hi technical needed! na hii sometimes inafaa kwa software zake tu kama Tune Tracker Radio Automation system.
 
Aisee hata mi najishangaa,hivi hili li BEOS ni likitu gani? Kweli JF ni shule,dah!

BeOS ni kama window XP, Linux. MAC, nakadhalika. Hii ni Be Operating system ambayo mara nyingi inafaa kwa software husika kama Tune Tracker Radio Automation system. Asante.
 
kama ni honestech jaribu kutumia software yao nyengine inakuwa na driver za hiyo tv tuner Easy Video Editor 3.0 pia inaweza kubali inapatikana http://www.honestech.com/main/TrialDownloads.asp chukua 30-day trial ujaribu
Asante mkuu, situmii TV tuner, natumia Tune Tracker Radio automation system. Na siwezi kuibadilisha nikachukua trial ndugu yangu kuipata ni shida kwa hapa bongo eti
 
Show me the way i can do! the process[/QUOTE

Fungu computer yako kwenye motherboard angalia CMOS battery ilipo, pembeni yake kuna jumper, chomoa hapo ilipo ichomeke pin no. mbili na tatu iache hapo kwa dakika 10 then irudishie ulipoikuta, ukiwasha computer tayari CMOS itakuwa cleared
 
Mimi pc yangu inatumia windows xp sp2 kama os, nimefunga tv tuner aina ya honestech 2.5 SAA7130TVcard lakini nikiinstall program yake kutoka kwenye cd yake inapofika sehemu ya kuinstall driver ambayo ni 713xDrvInstall.exe inanialert kuwa window haiitambui software hii eti haina logo ya microsoft windows, hivyo kuendelea kuiinstall itavuruga utendajikazi wa system sasa hivi au baadae..acha kuinstall mara moja! muone aliyekuuzia hii software au kama hujali matokeo ya haya unaweza kuendelea kuinstall.
Siku moja niliamua kuistall,ilikubali kuonesha lakini baada ya siku 4 ikagoma na kila kitu ktk system hakikufanyakazi sawasawa ndipo nilipoamua kuformat na kupanga tena kila kitu upya.uwezekano wa kumpata aliyeniuzia haupo hivyo naombeni msaada wenu wataalam ili niweze kutumia TV kwenye PC.
Samahani mleta thread kwa kuingilia lkn naamini heading yako nzuri itadraw attentions za wataalam hapa ambapo na shida hii yangu wataiona. Natanguliza shukrani! :help:[/QUOTE

jaribu kutafuta drivers nyingine, ikikataa tafuta card nyingine tu mkuu
 
its a bug in the Time preferences widget itself. The dates *do* only show up to 2010. However if you set the date by the Terminal it will be ok. In teminal do 'date -s "mm/dd/yyyy HH:MM:SS" '
to set the date. So you'd put month/day/year a space then hours:minutes:seconds. And be sure to enclose it with the quote marks too. Once you set it it will persist and be correct after reboots.
o, let me make sure you understand, type the following exactly as I show below with the ' and the "":

'date -s "02/19/2011 10:38:00" '

A space between the last "" and the '

And once done, even after cold or hard reboots the date and time will show correct. From this point on ignore the Time preference all together.

nime pata hapa for mor infoz
haiku-os.org/community/forum/beos_revision_5_out_time_beos_inc_beos_revision_5_and_dates_commencing_january_1_2011
 
Back
Top Bottom