The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Inasemekana kuwa mwanamke ana roho mbaya kuliko mwanaume,mfano: katika suala la kuua/kutoa uhai ukiwakabidhi visu ambacho ni butu na chenye makali mwanamke atachukua butu ili akuchinje taratibu ukiteseka tofauti na mwanaume atakayekuua na chenye makali haraka,hii imekaaje wakuu?nawasilisha