Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Nimisoma ktk Daily News ya leo..
TRA wamewapiga fine na ilipwe ndani ya siku 30, wamiliki wa kila lori la mafuta ambalo lilibeba mafuta yaliyochakachuliwa na kukamtwa Kigali-Rwanda!!! faini ni asilimia 50 ya thamani ya mzigo(kwa kila lori) ambao ni Mil. 64, hivyo kutakiwa kulipa Mil 32 kwa kila lori.
Good start... operesheni hiyo iingie hadi katika vituo vya mafuta!!:smile:
TRA wamewapiga fine na ilipwe ndani ya siku 30, wamiliki wa kila lori la mafuta ambalo lilibeba mafuta yaliyochakachuliwa na kukamtwa Kigali-Rwanda!!! faini ni asilimia 50 ya thamani ya mzigo(kwa kila lori) ambao ni Mil. 64, hivyo kutakiwa kulipa Mil 32 kwa kila lori.
Good start... operesheni hiyo iingie hadi katika vituo vya mafuta!!:smile: