Kama ni kweli,fanya mazoezi

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,708
Ilikuwa juzi jumatatu nilipokuwa naongea na bro wangu kuhusu kuwa mpaka leo sijaoa,nikamuuliza kuhusu uaminifu wa wanawake,akaniambia nitakapo tafuta mchumba niwe makini kwani mabinti wembamba wanapenda sana kurukiana(kufanya mapenzi)kuliko wanene,hivyo nijitahidi kuwa na uwezo mkubwa wa kurukiana,sasa sijajua kama dhana hii ni kweli ama la!Je kuna mwenye uzoefu atujuze?
 
inaelekea una upungufu wa ----------- ndio maana unataka kukwepa kundi flani


No!ni utani tu najiondokea
 
inaelekea una upungufu wa ----------- ndio maana unataka kukwepa kundi flani


No!ni utani tu najiondokea

Ninachotaka ni kujua kama ni kweli ili nikipata nijue kuna shughuli,isiwe suprise!Thanx anyway!
 
Ni kweli ndugu hao wanawake wembamba ni mtambo, kama wewe dume wajijua ni wa round mmoja uwakwepe kabisa waweza aibika, hawachoki. Vile vile ukijijua wewe ni lidume kweli wakwepe wanene maana wengi wao ni wavivu na hawapendi kila siku au mara kwa mara.
 
Ilikuwa juzi jumatatu nilipokuwa naongea na bro wangu kuhusu kuwa mpaka leo sijaoa,nikamuuliza kuhusu uaminifu wa wanawake,akaniambia nitakapo tafuta mchumba niwe makini kwani mabinti wembamba wanapenda sana kurukiana(kufanya mapenzi)kuliko wanene,hivyo nijitahidi kuwa na uwezo mkubwa wa kurukiana,sasa sijajua kama dhana hii ni kweli ama la!Je kuna mwenye uzoefu atujuze?


Tatizo ni kwamba hata hao unaowaona kuwa ni wanene nao walianza wakiwa wembamba. Mwembamba wa leo lazima atakuwa ama ni mnene wa kesho au mnene wa jana.
 
Tatizo ni kwamba hata hao unaowaona kuwa ni wanene nao walianza wakiwa wembamba. Mwembamba wa leo lazima atakuwa ama ni mnene wa kesho au mnene wa jana.

Wapo ambao naturaly ni wembamba,hata umdumbukize kwenye pipa la mafuta!
 
Ni kweli ndugu hao wanawake wembamba ni mtambo, kama wewe dume wajijua ni wa round mmoja uwakwepe kabisa waweza aibika, hawachoki. Vile vile ukijijua wewe ni lidume kweli wakwepe wanene maana wengi wao ni wavivu na hawapendi kila siku au mara kwa mara.

Mi nilidhani kuwa ma-chinene ndo wanakuwaga na hamu zaidi!!!!
itabidi nibadilishe choice nisije kupitwa, ila tatizo wembamba wanaumizaga na mifupa yao Bana.:dance:
 
Back
Top Bottom