Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,708
Ilikuwa juzi jumatatu nilipokuwa naongea na bro wangu kuhusu kuwa mpaka leo sijaoa,nikamuuliza kuhusu uaminifu wa wanawake,akaniambia nitakapo tafuta mchumba niwe makini kwani mabinti wembamba wanapenda sana kurukiana(kufanya mapenzi)kuliko wanene,hivyo nijitahidi kuwa na uwezo mkubwa wa kurukiana,sasa sijajua kama dhana hii ni kweli ama la!Je kuna mwenye uzoefu atujuze?