MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Kwanza kwanini baadhi ya wanaume wanapendwa sana na dada wenye nia ya dhati lakini wao hawatilii maanani?.Wandugu ukipedwa raha. Naukiona umependwa bila usumbufu kwa maisha ya sasa basi shukuru Mungu.Kwangu mie naona sasa imezidi kwani kila uchao wadada wengi tena wenye future wananipenda na nimekua nikiwaambia wazi tayari ninaye ila bado inanisumbua kwani kutoa namba ya simu kwangu sioni shida ukizingatia kuwa sina lengo la mapenzi zaidi ya niliye naye. Kinachoniumiza zaidi ni tofauti ya kuambiwa neno na msichana that ' i admire u' or ' I love u'. Naombeni ushauri juu ya hili.