Sehemu ya umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakishangilia wakati Katibu Mkuu mpya wa chama hicho, Wilson Mukama (hayupo pichani) alipokuwa akihutubia kwenye Viwanja vya Bakhressa, Manzese, Dar es Salaam Jumamosi, ikiwa ni ziara yake ya kujitambulisha yeye pamoja na Sekretarieti yake mpya. (Picha na Fadhili Akida).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.