FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
kheee!! hongera mamii!! .... mgeni yuko karibu tujiandae?? pls count on me!
oooh madabwada niko wodi ya maternity nahudumia wakinamama ila hapa nachungulia
kheee!! hongera mamii!! .... mgeni yuko karibu tujiandae?? pls count on me!
Kwani nimebisha Da Sophy?? Sijabisha kuwa umetongozwa kama nilivyotongozwa mie! Na niliposema wangu peke yangu namaanisha ndivyo inavyotakiwa ingawa sivyo ilivyo so nyie wa mtaani ni wezi tu mtake msitake!! Ungekuwa wa halali si angekupeleka mkafunga ndoa kabisa?? Msisingizie mambo ya kanisani!! Ukubali tu kuwa wewe ni mapozeo na mapozeo utabaki.
(Leooo nimelichokoza la nyumba ndogo ntakoma- wanajamii nikishindwa napiga yowe mje misaidie)
Na si ajabu ndo mapya yaani hata miezi kadhaa hayana so ni ile novelity hali ya upya wa mapenzi ndo unampa wendawazimu. Ngoja jamaa akinai atafute makazi mapya. AtajibebaChrispin muoneee huruma .........hajitambui. mapenzi ya mume wa mtu yeshamchanganya
Asante sana hebu waeleze maana kuna wengine hadi wana mashutuma ya kijinga basi wanafikiri kila anayetoka na mume wa mtu basi eti changu, kivipi mbona kuna wanawake wengi tu wameolewa na ni machangu wa kutisha, na tupo tusioolewa tumetulia kiheshima zetu na bwana mmoja
Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.
Asante sana hebu waeleze maana kuna wengine hadi wana mashutuma ya kijinga basi wanafikiri kila anayetoka na mume wa mtu basi eti changu, kivipi mbona kuna wanawake wengi tu wameolewa na ni machangu wa kutisha, na tupo tusioolewa tumetulia kiheshima zetu na bwana mmoja
Dah Sophy we ni Member wa blog ya U-turn? (mange)Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!
Tatizo lenu hamjui kula na kipofu. Unatemebea na mume wa mtu halafu unaanza kufanya chokochoko mpaka mkewe ajue! Halafu unasingizia eti mkewe anamchunguza!
Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!
Kwa hiyo wewe watimiziwa chumbani kwa mke mwenzio? Kweli unajiheshimu dada yangu.Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!
oooh madabwada niko wodi ya maternity nahudumia wakinamama ila hapa nachungulia
haya sasa tuseme umeolewa, na mimi namchukua wako ukijua utafanyaje???
Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!
Hahahaha! Ndio madhara ya raba mtoni hayo. Mpaka kwenye key board!
Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.