Kama natoka na mumeo...

Chrispin muoneee huruma .........hajitambui. mapenzi ya mume wa mtu yeshamchanganya
 
hehehe hii sredi imekaa kama wimbo wa rusha roho a.k.a mipasho. wapi mzee yussuf aweke chorus?. acha nisepe!. klorokwini iz not richebo in zis useless sredi.
 
Asante sana hebu waeleze maana kuna wengine hadi wana mashutuma ya kijinga basi wanafikiri kila anayetoka na mume wa mtu basi eti changu, kivipi mbona kuna wanawake wengi tu wameolewa na ni machangu wa kutisha, na tupo tusioolewa tumetulia kiheshima zetu na bwana mmoja

AIDS Spread.jpg
 
Kwani nimebisha Da Sophy?? Sijabisha kuwa umetongozwa kama nilivyotongozwa mie! Na niliposema wangu peke yangu namaanisha ndivyo inavyotakiwa ingawa sivyo ilivyo so nyie wa mtaani ni wezi tu mtake msitake!! Ungekuwa wa halali si angekupeleka mkafunga ndoa kabisa?? Msisingizie mambo ya kanisani!! Ukubali tu kuwa wewe ni mapozeo na mapozeo utabaki.

(Leooo nimelichokoza la nyumba ndogo ntakoma- wanajamii nikishindwa napiga yowe mje misaidie)

Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!
 
Da Sophy anatuhadaa anataka tukubaliane na matakwa yake...
Kumbuka methari isemayo muosha huoshwa .................................................................!
 
Chrispin muoneee huruma .........hajitambui. mapenzi ya mume wa mtu yeshamchanganya
Na si ajabu ndo mapya yaani hata miezi kadhaa hayana so ni ile novelity hali ya upya wa mapenzi ndo unampa wendawazimu. Ngoja jamaa akinai atafute makazi mapya. Atajibeba
 
Asante sana hebu waeleze maana kuna wengine hadi wana mashutuma ya kijinga basi wanafikiri kila anayetoka na mume wa mtu basi eti changu, kivipi mbona kuna wanawake wengi tu wameolewa na ni machangu wa kutisha, na tupo tusioolewa tumetulia kiheshima zetu na bwana mmoja

Dah! sasa nimeamini kweli zinakutosha dada/kaka yangu!
 
Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.

Hahahaha mama kutembea na mme wa n'tu ni uchangu mwambie aweke wazi akuoe kabisa.
 
Asante sana hebu waeleze maana kuna wengine hadi wana mashutuma ya kijinga basi wanafikiri kila anayetoka na mume wa mtu basi eti changu, kivipi mbona kuna wanawake wengi tu wameolewa na ni machangu wa kutisha, na tupo tusioolewa tumetulia kiheshima zetu na bwana mmoja

mm bado sijaoa naweza fikiriwa hiyo nafasi??
 
Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!
Dah Sophy we ni Member wa blog ya U-turn? (mange)
 
Tatizo lenu hamjui kula na kipofu. Unatemebea na mume wa mtu halafu unaanza kufanya chokochoko mpaka mkewe ajue! Halafu unasingizia eti mkewe anamchunguza!


wanakuwaga na vizabina zabina kama nini cjui, unakuta mwanaume yupo home saa 5 ucku yeye ni ku beep weee vi sms mfululizo unashangaa tu mr anaminya fone kuizima kwanini wife asihoji? halafu hakunaga mtu anakuwa na mume wa mtu kwa mapenzi, ni full wanachuna, na wacjidanganye eti tunachunguza, wengine muda wa kuchunguza hatuna tunalala nao na kuamka nao hao mabadiliko yao tunayanyaka kwa sec tu, ndipo hapo kasheshe linapoanzia....
 
Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!

with a mentality like this kisha useme unajiheshimu?! hujiheshimu my dear .................mwenye kijiheshimu hawezi kumvunjia heshima mwenziwe kwa maneno ya kifedhuli ya namna hii hata siku moja
 
Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!
Kwa hiyo wewe watimiziwa chumbani kwa mke mwenzio? Kweli unajiheshimu dada yangu.
Nikwambie siri
Huyo mke mwenzio siku akiamua kumchanganya mumeo kwa mahaba wewe pasi yako ni rahisi kufutika maana imeandikwa kwa penseli. na kwa maana hiyo anakuja kwako kupoza mapungufu anayoyapata kwa mkewe au kwenye familia yake. ukubali usikubali MAPOZEO ni wewe na wewe utabaki MAPOZEO na vile vile ukishachuja litatafutwa POZEO lingine au atarudi kwa mkewe. Hakunaga nyumba ndogo ya daima bibie!!
 
haya sasa tuseme umeolewa, na mimi namchukua wako ukijua utafanyaje???

si mpaka niolewe babu wee! na ikitokea nimebahatika hivyo nakuapia hakuna wa kumchukua mume wangu, nazijua mbinu zote! Kwa taarifa yako niliyenaye ananiambia kila kitu kinachotokea huko kwake na mkewe hadi yanamshinda. Na mashosti zangu wengine wananisimulia mambo kibao tu, yaani nina elimu acha. Labda tu asitokee wa kunioa, lakini akija kwangu haendi popote nakuapia, makosa yote ya walioolewa nayajua.
 
Mapozeo ni huyo mkewe anayemdekia chumba chake na kumkanda misuli baada ya kazi ngumu ya kunitimizia mwenzie. Yeye si ana pete ya ndoa na alifanyiwa harusi kubwa akaserebuka na mashosti zake, alishapata haki yake hiyo inamtosha mie ninaye mume kwa raha zangu. Halohaloooo! Kama alijua ujanja ndoa basi anayo pete inamtosha atajijuuuu!

Hii Full Mipasho hakyanani.... Traventine Styles:A S 41:
 
Hahahaha! Ndio madhara ya raba mtoni hayo. Mpaka kwenye key board!

biggy vipi kwani nimemaanisha ni kama alipakwa mlenda, nilimtafuta naambiwa alikuwa hapa alikuwa pale aaah mwisho nikahisi kafukiwa pamoja na mzee....(RIP baba Iribini)
 
Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.

sasa ukitulia nae utapata wako lini? manake anakupotezea tu muda, kukubana anakubana yeye akitoka hapo anaenda kwa mkewe wewe wajilalia cku zinasonga, utapataje wa kwako kwa gia hii?au una malengo yae mengine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom