Kama natoka na mumeo...

Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

Ila kweli bwana!si utulie ww ushawekwa ndani ya nje ya nn!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom