Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Kama tuhuma ni za kweli vijana walihongwa elfu kumi kufanya fujo na wakafanya CCM itatawala milele.
Ila mwigulu kichwaBora hata hao waliohongwa elfu 10. Wapo watu TZ hii ambao wakipewa ubwabwa tu wanabwatuka mbaya!
Inategemea ni vijana wa namna gani?, hawa walio hongwa tzs 10000 iliwafanye fujo ni kutoka Dar es salaam na baadhi ya viongozi wa kijiji cha Ndago.. kama ujuavyo hata jambazi akifa kuna wa kumlilia, hivyo hivyo CCM ina vijana wake kama akina Ritz @rejeo na wengineo.. ieleweke kazi ya kuitoa CCM madarakani siyo ndogo wala si lelemama, lazima chadema wajipange hasa.Kama tuhuma ni za kweli vijana walihongwa elfu kumi kufanya fujo na wakafanya CCM itatawala milele.
Kama tuhuma ni za kweli vijana walihongwa elfu kumi kufanya fujo na wakafanya CCM itatawala milele.
Ila mwigulu kichwa
basing on what?ila mwigulu kichwa
Msangi baada ya hukumuHana muda mwili wake utakuwa hivi.....
Ila mwigulu kichwa
Ila mwigulu kichwa