abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
haewezekani masuala ya hatma ya nchi yakamuliwa na wajumbe wa chama tena chama kimoja.itakuwa sere ni ile ile serekali 2-1.
Katika kumbukumbu zangu zote hakuna nchi hata moja Africa iloko katika Muungano ispokuwa Muungano wa (Replic of Tanzania.). Hata huo Muungano wa Eurapian EU,AU nitafauti na huu wetu. Ingekuwa Muungano wetu ni mzuri basi nchi nyingi za Africa zingeiga?.
Lakini ni mkuubwa kumeza mdogo Watanganyika millioni 44 kungana na Wzanzibari 1.2 millioni moja laki mbili? Yani Zanzibar kupoteza utaifa wake kwa ya ujanja na udanganyifu na wenzetu ccm/smz kutusaliti kwa vikao vya halmashauri ya chama cha ccm, ndio ukaona nchi zote za Africa sio wapumbavu kuungana kwa kupoteza utaifa wa watu wao na ardhi yao,
Sisi viongozi wetu wa ccm/smz niwatu wakuunyonga tu hawana faida yoyote ispokuwa kwenda mbio na jaa zao huku nchi wakitowa mlango wa nyuma Vishwa usaha mtupu. Kama kwela Tanganyika walikuwa wanataka Muungano na sio wizii wangeweza kuwa na Serekali yao ya Tanganyika na katiba yao ya Tanganyika kwa kusimamia mambo ya Tanganyika?. Lakini leo ktk Muungano huu kuna ubabaishaji mwingi na utapeli tufanyiwao Wazanzibar na viongozi wetu kutumbua macho tu kwa madamanio ya Dunia na kutokuziweza njaa zao.
Hawa machongo ni wezi na hawana nia njema ya Muungano, umeuna lini Rais wa Tanzania mara zote katika maisha yako kuwa Zanzibar? Wao siwana sema Tanzania ni Zanzibar na Tanganyika? Mbona hakuna haki yakuwa Urais kwa awamu? Mara hii atatoka Zanzibar mara nyengine Tanganyika?. Mimi nahisi huu ni wizi wa kitanganyika kuvaa koti la Tanzania na kujikumbizia mazuri ya Muungano kwao tu, na Tanganyika iipo haikuwa wakfu ikawa mali ya Tanzania no, bali Tanganyika ndio hii Tanzania na ndio hupashikana Uraisi wa Tanzania na Balozi za njee wenyewe kwa wenyewe na sisi tukambulia kuramba makoko na kujidanganya kuwa tuko ktk Muungano.
Wewe unazani hizo nchi za Ulaya zilizo ungabna kuna nchi ilio itumbukiza nchi yake kwa mwengine? Kila nchi ina mambo yake na mamlaka yake kamili ya nchi ispokuwa Muungano ni mambo Fulani tu tena yasio haribu utaifa wa mtu mwingine, na kama mundane wetu ni mzuri nchi nyingi za Africa zingeiga. Mungu kibariki kizazi cha Wzanzibar kupotea.
Majadiliano ya kero za Muungano kutatuliwa ki-chama
[caption id="attachment_27433" align="aligncenter" width="300" caption="kesi ya Tumbili kumpa Gedele muhukumiwa ni huyo huyo na wenye kuhukumu ni huyo huyo."]