Sijaelewa hakuna huduma ya LUKU kwamaana hakutakuwa na umeme kwa tunaotumia meter za luku au no transaction kwa manunuzi ya umeme wa luku?
Rudia kusoma vizuri thread utaelewa tu!
Sijaelewa hakuna huduma ya LUKU kwamaana hakutakuwa na umeme kwa tunaotumia meter za luku au no transaction kwa manunuzi ya umeme wa luku?
Weka ieleweke mkuu ni mita za luku zitakata umeme au ni mawasiliano ya manunuzi ya umeme wa luku yatakata?
bado hujaelewaka mwana,huduma ya luku ziko mbili,luku machine/meter yenyewe inayocount na kupitisha umeme,na mfumo wa mawasiliano unatumika kwa ajili ya manunuzi ya umeme wa luku.
ni kwamba ununuz wa LUKU wa aina yeyote hautakuwepo
mbona sridi ipo waz mdau,,,,ni kwamba transaction HAITAKUWEPO
TUAMBIE KWANZA KABILA LA HUYO MCHUMBA NA MAMA MKWE WAKO, KAMA MCHUMBA KAKUFANYA ATM JIANDAE... MKWE NAYE ATAKUGEUZA BANK KABISA.
Pesa ilimuuza Jesus!!!
inaeleweka tu mbona tumekosa mengi na kwa mda mrefu
Symbion on duty
LUKU = Lipia Umeme Kadri Unavyonyonywa.
Hao Tanesco mapimbi tu pamoja na luku zao.