Kama mlishiriki kupitisha mswada wa katiba ikulu mmefuata nini?-cuf

luckman

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,211
371
Nimekuwa nikiangalia sarajkasi za kisiasa zinazoendelea tanzania, ni comedy tupu,naona kama ni siasa za kuigana ili na mimi nionekane hivi, jamani sote tulikuwepo tulishuhudia chama cha wanachi cuf kilivyoshirikiana na ccm+tlp na mb wao mmoja pamoja na cuf kupitisha kwa shangwe na vigelegele leo wameibuka eti wanaenda ikulu kutoa mapendekezo hali wawakilishi wao washasema walichotumwa na uongozi, sasa mlienda kufanya nini kama sio kuiga walichofanya wenzenu?
 
Nimekuwa nikiangalia sarajkasi za kisiasa zinazoendelea tanzania, ni comedy tupu,naona kama ni siasa za kuigana ili na mimi nionekane hivi, jamani sote tulikuwepo tulishuhudia chama cha wanachi cuf kilivyoshirikiana na ccm+tlp na mb wao mmoja pamoja na cuf kupitisha kwa shangwe na vigelegele leo wameibuka eti wanaenda ikulu kutoa mapendekezo hali wawakilishi wao washasema walichotumwa na uongozi, sasa mlienda kufanya nini kama sio kuiga walichofanya wenzenu?

ndio wameiga, ndio wanafanya sarakasi...ndio kila ulichosema...so WHAT???

Yaani hiki ndio unaanzishia thread?? kila mtu anajua ulichoandika, leta solution ya kuindoa CCM, Chadema wameishashindwa1
 
kiitikio na kibwagizo cha Cuf ikulu kimetuchosha hakuna habari nyingine? thread yako haina jipya mods unganisha na mada zilizotangulia post haina jipya mbali na tuliokwishajadili member alikuwa amelala usingizi
 
ndio wameiga, ndio wanafanya sarakasi...ndio kila ulichosema...so WHAT???

Yaani hiki ndio unaanzishia thread?? kila mtu anajua ulichoandika, leta solution ya kuindoa CCM, Chadema wameishashindwa1


ukombozi wa nchi sio issue ya siku moja, matatizo mengi yatatokea kufika pale tunapotaka kufika, watu tutabezwa, tutazushiwa kesi, tutatukanwa, lakini mwisho wa siku ukombozi utapatikana, hivi kusema cdm wameshindwa ndo una maana gani?nani asiyejua uhalali wa ushindi wa wenzenu, kama misingi ni mibovu lazima uconcentrate kwenye ubovu ili siku zijazo ujidhatitivizuri, ona katiba, unadhani kwa nini ccm wanagomea katiba, lakini haya mapambano hatutashindwa kuendelea nayo, lazima tupambane ili tuipate tanzania tuitakayo!
 
Natumaini walichoenda kufanya ikulu wacuf ni kumpa mapendekezo jk jinsi ya kukabiliana na hoja za CHADEMA,
wakijipendekeza ya kwamba haukuwepo umuhimu wa CHADEMA kwenda ikulu na kwamba jk amefanya kosa kuwakaribisha pale magogoni. Wao walipitisha muswada na waliona hauhitaji mapendakezo ya ziada. Kwa vile wao ni ndoa na ccm walienda kulalamika kwa nini bwana wao hakuwaita wakati wa kusikiliza maoni ya CHADEMA?
 
Ubwabwa na vinywaji
CCM nao wanatka kwenda ikulu kujadili muswada na JK

Nimeipenda hiyo...sasa embu angalia kwenye msafara wao kuna watu wengine wamevaa raba na tisheti wanaenda ikulu eti kumuona raisi nikipata hizo picha nitawaonyesha wadau.
 
Back
Top Bottom