Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Wakuu ikitokea wewe au mimi mwenye degree tukakosa/nikakosa nafasi ya kazi ya SENSA alafu form six and form fours wakapata,what is going to be your opinion?
Wakuu ikitokea wewe au mimi mwenye degree tukakosa/nikakosa nafasi ya kazi ya SENSA alafu form six and form fours wakapata,what is going to be your opinion?
Wakuu ikitokea wewe au mimi mwenye degree tukakosa/nikakosa nafasi ya kazi ya SENSA alafu form six and form fours wakapata,what is going to be your opinion?
Kiwango cha elimu kinachohitajika kwenye sensa ni form four tu na wala si degree, kwenye fomu uliambiwa ambatanisha na cheti cha form four. sintoshangaa wenye degree mkiachwa VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA
we bure kabisa.
Shahada ndo inayohitajika? Ukikosa basi unamshukuru Mungu kwa mwenzio kupata hiyo kazi. Siyo vizuri kuamini kuwa provided una degree basi ni lazima upate.
mimi nina degree ila tayari kwa majina yaliyobandikwa ofsi ya mtendaji wa kata niyopo(kawe) jina langu limo japokuwa wamesema kesho kuna usaili wa kukugua vyeti.sasa sijajua kama wenye degree wote majina yao yametoka au la....ila hata mwenye degree kuachwa itawezekana tu kutokana na corrupt system
wenye degree mnapaswa kujiajiri, kama unazurura mtaani basi elimu yako haijakusaidia kitu, na hivo kazi ya sensa kadhalika haita kusaidiaingekuwa busara, kusaidia wenye degree zao wanaozurura mtaani bila msaada maalum, then kama chance ingepatikana then form 6 na form 4 iwe last consideration.
Wakuu ikitokea wewe au mimi mwenye degree tukakosa/nikakosa nafasi ya kazi ya SENSA alafu form six and form fours wakapata,what is going to be your opinion?
Wakuu ikitokea wewe au mimi mwenye degree tukakosa/nikakosa nafasi ya kazi ya SENSA alafu form six and form fours wakapata,what is going to be your opinion?
you are very sure broKiwango cha elimu kinachohitajika kwenye sensa ni form four tu na wala si degree, kwenye fomu uliambiwa ambatanisha na cheti cha form four. sintoshangaa wenye degree mkiachwa VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA