Kama matapeli basi serikali ni namba moja.............................

only83

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
5,343
2,525
Katika tukio lililovuta watu wengi DODOMA leo mchana maeneo ya Chang'ombe ni la viongozi wa TANROADS kumdanganya Mkurugenzi wa halmashauri ya Dodoma....watu hawa walipewa kazi ya kuamisha makaburi ya maeneo hayo ambayo ni maarufu sana hapa dodoma kupisha upanuzi wa barabara.Cha kushangaza watu wa TANROADS waliamisha misalaba na kuacha miili ya marehemu ndani ya makaburi...Wananchi walipogundua janja hiyo walifukua kaburi moja kujua ukweli ndipo walipokuta mwili wa marehemu mmoja ukiwa kaburini huku msalaba wake ukiwa umeamishwa...Mkurugenzi halipoulizwa amedai yeye amepata taarifa kuwa miili iliamishwa....je...


  1. Mkurugenzi wa halmashauri anasubiri nini kujiuzulu kama alidanganywa na watu wake wa TANROADS?
  2. Boss wa TANROADS nae anasubiri nini kuomba kumpumzika kwa uhuni huu wanaotufanyia?
  3. JK umeipata hii?
  4. Magufuli usikimbilie kubomoa tu nyumba za watu,naomba waadibishe na hawa watu wako wahuni
source:mimi mwenyewe live kwenye tukio
 
Katika tukio lililovuta watu wengi DODOMA leo mchana maeneo ya Chang'ombe ni la viongozi wa TANROADS kumdanganya Mkurugenzi wa halmashauri ya Dodoma....watu hawa walipewa kazi ya kuamisha makaburi ya maeneo hayo ambayo ni maarufu sana hapa dodoma kupisha upanuzi wa barabara.Cha kushangaza watu wa TANROADS waliamisha misalaba na kuacha miili ya marehemu ndani ya makaburi...Wananchi walipogundua janja hiyo walifukua kaburi moja kujua ukweli ndipo walipokuta mwili wa marehemu mmoja ukiwa kaburini huku msalaba wake ukiwa umeamishwa...Mkurugenzi halipoulizwa amedai yeye amepata taarifa kuwa miili iliamishwa....je...


  1. Mkurugenzi wa halmashauri anasubiri nini kujiuzulu kama alidanganywa na watu wake wa TANROADS?
  2. Boss wa TANROADS nae anasubiri nini kuomba kumpumzika kwa uhuni huu wanaotufanyia?
  3. JK umeipata hii?
  4. Magufuli usikimbilie kubomoa tu nyumba za watu,naomba waadibishe na hawa watu wako wahuni
source:mimi mwenyewe live kwenye tukio

Ahsante.
Liko jibu moja tu. na nimeishalitoa mara nying hapa JF. HATUNA SERIKALI full stop
Source yako imenifurahisha!
 
Back
Top Bottom