Kama Mama Malecela hafai, je Mbowe anafaa?

Mugabe Robert ana degree za kusoma kama nne hivi, na kapewa za bure tu kama sita vile kwa hiyo anazo za kutosha, lakini Uchumi wa Zimbabwe ndio tunaousoma wa quadrillion kununua sijui mkate au embe.

Bila kusahau mafisadi wengi wa Tanzania waliosoma Havard kwa pesa ya walipa kodi Mramba, nk. Lakini wapi? Kwa hiyo basi elimu ndio ufunguo wa maisha lakini sio elimu ya degree tu. Elimu iko kwa namna mbali mbali sio elimu ya kikasumba tu.



Suala la kuanguka kwa uchumi wa Zimbabwe sio la shule, ni la kisiasa. Kama Mugabe angekuwa ameishia form six kama muungwana Mbowe, angeweza kufanya kama ya Iddi Amini; kuendesha kama nyumba ndogo na kuiingiza vitani bila kujua ubavu wake. Lakini Mugabe bahati yake shule yake imemsaidia akaweza kung'ang'ania katika mazingira magumu kwe milongo kadhaa sasa.

La muhimu ni kutambua umuhimu wa shule katika nyakati zote, iwe neema ya Mauritius, au vikwazo vya Zimbabwe, na kuacha kung'ang'ania waliokimbia umande ingawa wana midomo mikubwa, Mbowe, Amini n.k.

Shule ni baba wa maendeleo, wanaoharibu nchi hawafanyi hivyo kwa sababu ya ukubwa wa shule bali kwa uchu na uzembe wao binafsi.
 
Can you show the forum what is skewed in, either my questioning or the Mbowe CV I posted? If not can you help MwK to answer the posed Qs because she seem to be of the lower level of education to the CV bearer?

It doesn't take a rocket scientist to figure out that the type of "questions" you've posited earlier are what are known as "loaded" questions in the sense that these presuppose that Mr.Mbowe has insufficient and/or inferior credentials to qualify as Party Chairman and potential candidate for presidency of the Republic.

Like I said above, what appears to be much more harder for you to accomplish in this case is to lay down your argumentation(s), point-by-point, as to why Mr. Mbowe is (as you try to insinuate through your questioning here), "unqualified" and/or "unfit" to maintain his formal position as current Party Chairman or to vie for candidacy as president of the Republic in future presidential elections.
 
Suala la kuanguka kwa uchumi wa Zimbabwe sio la shule, ni la kisiasa. Kama Mugabe angekuwa ameishia form six kama muungwana Mbowe, angeweza kufanya kama ya Iddi Amini; kuendesha kama nyumba ndogo na kuiingiza vitani bila kujua ubavu wake. Lakini Mugabe bahati yake shule yake imemsaidia akaweza kung'ang'ania katika mazingira magumu kwe milongo kadhaa sasa.

La muhimu ni kutambua umuhimu wa shule katika nyakati zote, iwe neema ya Mauritius, au vikwazo vya Zimbabwe, na kuacha kung'ang'ania waliokimbia umande ingawa wana midomo mikubwa, Mbowe, Amini n.k.

Shule ni baba wa maendeleo, wanaoharibu nchi hawafanyi hivyo kwa sababu ya ukubwa wa shule bali kwa uchu na uzembe wao binafsi.

Na swala la wizi na ufisadi wa serikali ya sasa na ya awamu ya tatu ni la elimu au siasa? unajikanyanga hadi unatia aibu..
 
ukileta maswali ya kijiweni unapata majibu ya kijiweni. Ukileta hoja za maana nawe utapata hoja za maana. Kwa sasa watu wabaguzi na wenye chuki za kidini kama wewe hawaitaji majibu ya maana. Wanapata majibu yanayolingana na level ya maswali yao.

Next.....



You can jump around, but can't hide from the facts. Yapi kati ya haya maswali ni ya kijiweni ili tukusaidie kuyarudisha darasni ili uyajibu?





CV ya Mbowe

Members Profile >> MP CV
Mbowe , Freeman A.

GENERAL
ID No.:

MEMBER'S PICTURE​


1260.jpg


First Name: Freeman

Middle Name: Aikaeli

Last Name: Mbowe

Member Type: Constituency Member

Constituent: Hai

Political Party: CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO

Office Location: P.O. Box 3070, Moshi

Office Phone:

Office Fax: 2112538

Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz

Member Status: Current Member

Start Date: 15 Oct 2005

End Date: 30 August 2005

Date of Birth :


EDUCATION:

Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL


CERTIFICATIONS:

No items on list

EMPLOYMENT HISTORY:

Bank of Tanzania Bank Officer - -

POLITICAL EXPERIENCE

No items on list

PUBLICATIONS:

No items on list

SPECIAL SKILLS:

No items on list
 
Wakuu heshima mbele, tumemjadili mno Mwenyekiti wa Chadema, kama Mwalimu, haya yote yalishasemwa huko nyuma tena kwenye thread nyingi sana humu JF,

Mkuu Kubwajinga kwa heshima na taadhima mkuu, kama hu-mind can you let it go on this, maana tumemjadili mno mkuu huyu, hivi hakuna wengine bongo?

Ni ombi na ushauri wa bure tu kwenu wakuu!
 
Na swala la wizi na ufisadi wa serikali ya sasa na ya awamu ya tatu ni la elimu au siasa? unajikanyanga hadi unatia aibu..

  1. Definitelly not elimu!!!.
  2. Siasa. probably....
  3. Lakini kwa vile sio wana CCM wote walioshiriki, then linakuwa zaidi suala la artitude + behaviour binafsi. Ila thanks kwa wasomi wetu wa idara ya ukaguzi wa mahesabu walioibua hayo mapungufu na kumpa nafasi msomi Dr. Slaa na msomi mwingine Zitto, kupata cha kuongelea bungeni. Then finaly msomi mwingine Dr. Mwakyembe akakamilisha uchunguzi. Je? Mbowe na form six yake angeyaweza haya?
 
Jamani naomba anayejua CV ya Rais wa Brazili ili tusije kuwa tunalinganisha miwa na malimau.. halafu tuone ni jinsi gani CV ya mtu inamfanya awe Rais mzuri au mbaya... Anaitwa Lula Da Silva..
 
Wakuu heshima mbele, tumemjadili mno Mwenyekiti wa Chadema, kama Mwalimu, haya yote yalishasemwa huko nyuma tena kwenye thread nyingi sana humu JF,

Mkuu Kubwajinga kwa heshima na taadhima mkuu, kama hu-mind can you let it go on this, maana tumemjadili mno mkuu huyu, hivi hakuna wengine bongo?

Ni ombi na ushauri wa bure tu kwenu wakuu!

Mkuu FMES,
Ushauri mzuri mkuu. Lakini tunalijadili kwa vile limeletwa kwenye thread na ni suala muhimu sana kwa taifa. Kuwa na raisi mwenye elimu ya form six tu kwenye karne hii ya 21 ni hatari na ni uzembe wa hali ya juu. Mbowe alipewa nafasi na Chadema kuiongoza nchi, chamani na uraisi. Kama Chadema wanaridhika na uongozi wake, ni juu yao, lakini anapopendekezwa kuiongoza nchi inakuwa ni suala la taifa na ni vema likajadiliwa wakati wowote anapopendekezwa kuwa raisi.
 
Jamani naomba anayejua CV ya Rais wa Brazili ili tusije kuwa tunalinganisha miwa na malimau.. halafu tuone ni jinsi gani CV ya mtu inamfanya awe Rais mzuri au mbaya... Anaitwa Lula Da Silva..

Mbona mama Malecela alivyosemwa kuwa CV yake dhaifu hujaomba CV ya Rais wa Brazil?
 
Jamani naomba anayejua CV ya Rais wa Brazili ili tusije kuwa tunalinganisha miwa na malimau.. halafu tuone ni jinsi gani CV ya mtu inamfanya awe Rais mzuri au mbaya... Anaitwa Lula Da Silva..

Licha ya kuwa Brazil sio Tanzania, tusiwe wazembe kwa kuwapigia debe watu wasio na minimum qualifications za kuiongoza nchi yetu, kwa vile tu ni wa vyama vyetu, dini zetu au makabila yetu. Form Six na ukarani wa BOT sio minimum qualification tunazohitaji raisi wetu awe nazo.
 
CV ni nini, na CV nzuri ina nini?

CV - Curriculum Vitae - A summary of one's education, professional history, and job qualifications, as for a prospective employer.


CV nzuri ni ile iliyo na angalau sifa za chini kabisa kwa ajili ya ajira husika. Ukiwa na sifa zaidi ya zile za chini kabisa ni vema zaidi.
 
Elimu ya shule ni moja tu ya njai ya kuleta mafanikio iwe binafsi au katika jumuia. Je mtu amechangia nini katika kuibadirisha jamii yake n moja ya vigezo vianaweza kumtambua mtu kama anafaa kuongoza taifa. Lula japo hana elimu ya chuo kikuu, na wapo wengi e,g John Major, ni mchango wake alioutoa akiwa kwenye chama cha wafanyakazi ndio uliompa nafasi ya kuongoza nchi yake. Basi tusiangalie tu kiwango cha elimu kama sifa tosha ya kuwa kiongozi. Kama ni kumwangalia Mbowe au Anna Kilango au yeyote awaye yule tuoe mchango wake wakuikwamua jamii anayoishi. Kama ni mfanyabashara maechangia nini katika kukua kwa uchumi wa nchi au industry yake(hotels, utalii etc), je mwalimu amechangia nini kuendeleza taaluma ya ualimu n.k.
 
Hii ni kubwa Mbowe ni form six na ukarani wa BOT tu, anawanyima usingizi CCM na MAFISADI! Je angekuwa graduate ingekuwaje? Naona huyu bwana ni tishio sio mchezo.

Kila moto ukiwaka utaona na jina la Mbowe linatokeza kama uyoga, moto ukitulia na jina lake linatoweka kama theluji.
 
Kama hayo ndio majibu uliyoona yanafaa kuelezea mapungufu ya Mbowe, basi tukiogope Chadema. Maana hayo uliyotupa ni majibu ya darasa la saba la kijiweni.

mzee, yaani hata usishangae hawa wafuasi kujibu majibu ya chooni.. ukiona nyumba inalegea usiulize wapangaji, angalia msingi wa nyumba upo vipi....chama chao msingi wake ulioanzishiwa hadi kurithishwa kwa mbowe utashangaa mzee...yani tabu tupu !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom