Mimi nimemwona Lowasa nikafurahi sana, ingawa sijui ni kwanini amekwenda huko ila namshukuru sana Mungu kwani inatia moyo sana ukiona viongozi wa siasa wana hofu ya Mungu, Mungu mbariki na umjalie afya njema na fungua milango yake ya baraka kokote iliposhikiliwa, wamtumainio Bwana ni kama mlima sayuni kamwe hawatatikisika. Mungu mbariki Lowasa Mungu ibariki nchi yangu Tanzania tupate katiba mpya kwa amani. Amen.