Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
- Thread starter
- #101
upo concerned na nini kwani uhai wa CCM au Padre?Tunawajua nyie ..huwa ni wadini ,wakabila,na wakanda ila linapokuja suala ya kuchagua kilicho bora ktk uhai wenu huwa mnakwenda ktk hizo dini,ktk hizo kanda,ktk hayo makabila.Kamanda kwa hiyo padre Slaa tupa kule mnamuweka Lowassa.Teh teh teh