Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Mimi ninaamini usemi usemao:-
"CHEMA CHAJIUZA NA KIBAYA CHAJITEMBEZA."
Swali linalonila kichwa ni hili...............Hivi JK kama kweli ni mchapakazi na kuna mengi ametufanyia kwwa miaka mitano iliyopita si tungelimtarajia sisi tulionufaika na utawala wake tumtangaze lakini jitihada hiyo ametunyang'anya na amejitwisha KWA KULIBINAFSISHA jukumu letu kwake BINAFSI na familia yake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
HIVI NI KWELI SISI NDIYO tulionufaika na miaka yake mitano madarakani au ni HIYO familia yake na hao wachache ambao wanampigia debe?
Na kwanini kampeni yake ya kutetea ugali wake na familia yake WA URAISI imekuwa ni ghali kuliko zote katika historia ya nchi hii?
Kuna nini? Na kulikoni?
KWELI CHEMA CHA DR. SLAA CHAJIUZA NA KIBAYA CHA JK CHAJITEMBEZAAAAAA
"CHEMA CHAJIUZA NA KIBAYA CHAJITEMBEZA."
Swali linalonila kichwa ni hili...............Hivi JK kama kweli ni mchapakazi na kuna mengi ametufanyia kwwa miaka mitano iliyopita si tungelimtarajia sisi tulionufaika na utawala wake tumtangaze lakini jitihada hiyo ametunyang'anya na amejitwisha KWA KULIBINAFSISHA jukumu letu kwake BINAFSI na familia yake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
HIVI NI KWELI SISI NDIYO tulionufaika na miaka yake mitano madarakani au ni HIYO familia yake na hao wachache ambao wanampigia debe?
Na kwanini kampeni yake ya kutetea ugali wake na familia yake WA URAISI imekuwa ni ghali kuliko zote katika historia ya nchi hii?
Kuna nini? Na kulikoni?
KWELI CHEMA CHA DR. SLAA CHAJIUZA NA KIBAYA CHA JK CHAJITEMBEZAAAAAA