Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Unaweza ukashangaa huu uswahiba wa CCM na CUF. Kiuwkeli inaonekana sio sababu CUF ni rafiki ya CCM, bali sababu CUF ni adui ya CDM (Adui ya adui yako ni rafiki yako).
Sasa kama kweli CCM anampenda huyu 'mpenzi' wake CUF, bas ammegee kutoka kwenye 60% yake ua kura, na sio kung'ang'aniza CDM wammegee kutoka kwenye hiyo 26% yao.
Hapa namaanisha kuwa, kwa kuwa CCM 'wanawapenda' CUF, then Kikwete awape mmoja au zaidi ya mmoja ya wabunge wa CUF uwaziri kamili, na sio 'kuwaombea' kwa CDM wapewe uwaziri kivuli.
60% ya CCM imewapa serikali, na kutoka hapo, kama walivyofanya kule Znz, wanaweza kuwapa CUF uwaziri bungeni, na sio kuwang'ang'ania CDM wawamegee kutoka kwenye 26% yao, ambayo BTW inatosha tu kuwa waziri kivuli.
Kama kweli unampenda, utamlinda....
Sasa kama kweli CCM anampenda huyu 'mpenzi' wake CUF, bas ammegee kutoka kwenye 60% yake ua kura, na sio kung'ang'aniza CDM wammegee kutoka kwenye hiyo 26% yao.
Hapa namaanisha kuwa, kwa kuwa CCM 'wanawapenda' CUF, then Kikwete awape mmoja au zaidi ya mmoja ya wabunge wa CUF uwaziri kamili, na sio 'kuwaombea' kwa CDM wapewe uwaziri kivuli.
60% ya CCM imewapa serikali, na kutoka hapo, kama walivyofanya kule Znz, wanaweza kuwapa CUF uwaziri bungeni, na sio kuwang'ang'ania CDM wawamegee kutoka kwenye 26% yao, ambayo BTW inatosha tu kuwa waziri kivuli.
Kama kweli unampenda, utamlinda....