Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jamani nampenda King'asti, King'asti kama kweli unampenda Paw mwambie anipe ban ya mwaka nihakikishe kwa macho yangu Paw kama upo tayari kutumia cheo chako cha mod kuniban basi poa tu nipe ban
King'asti najua
1.utamsifia Paw
2.itakuchukua mda kureply hi thread.
3.unaweza usinijibu
@Cacio jamani naomba mwambie King'asti nampenda sana. charming Lady jamani nampenda King'asti Bujibuji naomba uwe mshenga. Nicas Mtei nibembelezee nampenda kweli huyu mrembo
Paw kama kweli unampenda king'asti naomba upoteze jina la Excy humu JF...usipofanya hivo huna upendo wa kweli kwa King'asti.
King'asti najua
1.utamsifia Paw
2.itakuchukua mda kureply hi thread.
3.unaweza usinijibu
@Cacio jamani naomba mwambie King'asti nampenda sana. charming Lady jamani nampenda King'asti Bujibuji naomba uwe mshenga. Nicas Mtei nibembelezee nampenda kweli huyu mrembo
Last edited by a moderator: