WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kuna mjadala unaendelea Re: Maiti za vitoto zaidi ya 10 zafukuliwa shimo moja
Vincent Augustino mwanzisha thread kauliza:
Kama hizo ni mimba zimetolewa ndani ya siku moja; jee wiki, mwezi na mwaka? Bei ya condom nayo imepanda sana au; kwanini mimba zitungwe kama kondomu zinatumika?
Hili mnalionaje wajameni? Kama mimba zinatungwa na kutolewa kwa kasi hivi, je UKIMWI upo?..Iweje mtu mwanaume na mwanamke wanaoshiriki kitendo wazembee hadi haya yatokee?
Naombeni michango yenu tafadhali.
Kama hizo ni mimba zimetolewa ndani ya siku moja; jee wiki, mwezi na mwaka? Bei ya condom nayo imepanda sana au; kwanini mimba zitungwe kama kondomu zinatumika?
Hili mnalionaje wajameni? Kama mimba zinatungwa na kutolewa kwa kasi hivi, je UKIMWI upo?..Iweje mtu mwanaume na mwanamke wanaoshiriki kitendo wazembee hadi haya yatokee?
Naombeni michango yenu tafadhali.