Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
Wajaamen kweli magamba hawana shukuran au wanamagamba wanapopewa dhamana huwa wanajisahau wakidhani wataendelea kula jasho la wenzao milele.
weekendi hii nimekutana na aliekuwa mheshimiwa STEVEN MASHISHANGA dah! utamwonea huruma, anakula tope kama hana akili nzuri akiwa kavaa yeboyebo bila kujali anakanyaga maji machafu maeneo ya kaumba (Ilikuwa mchana)
Inavyoonekana hali yake ni mbaya nafikiri hakufikiri kama kuna maisha mengine baada ya kustaafu.
Tukiwa na nguvu tujue kuna maisha ya uzeeni.
weekendi hii nimekutana na aliekuwa mheshimiwa STEVEN MASHISHANGA dah! utamwonea huruma, anakula tope kama hana akili nzuri akiwa kavaa yeboyebo bila kujali anakanyaga maji machafu maeneo ya kaumba (Ilikuwa mchana)
Inavyoonekana hali yake ni mbaya nafikiri hakufikiri kama kuna maisha mengine baada ya kustaafu.
Tukiwa na nguvu tujue kuna maisha ya uzeeni.