Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kama kawaida ya CCM wale wanaodaiwa kuwa ni wauwaji wanatarajiwa kufikishwa mahakamani tarehe 10/09/2012 ili kuziba chokochoko na kunyooshewa vidole na jamii juu ya mauwaji hayo na kama ilivyo desturi itakuwa ni marufuku kuandikwa au kuzumzia jambo hilo tena