Kama kawaid yao wauwaji wa Mwangosi watapelekwa mahakamani then mjadala unafungwa ndo nitoleee

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Kama kawaida ya CCM wale wanaodaiwa kuwa ni wauwaji wanatarajiwa kufikishwa mahakamani tarehe 10/09/2012 ili kuziba chokochoko na kunyooshewa vidole na jamii juu ya mauwaji hayo na kama ilivyo desturi itakuwa ni marufuku kuandikwa au kuzumzia jambo hilo tena
 
Akina mwema,kova,nchimbi,kamhanda wanaisubiri kwa hamu sana j3 ili wapumue maana ndo itakuwa mwisho wa cd ya mauaji ya mwangosi baada ya hapo wataanza kutengeneza cd mpya nyingine maana bongo kila kukicha movie zinatengenezwa
 
Back
Top Bottom