Naishangaa sana hii Serikali ya Kikwete kwa kubomoa nyumba ya ibada na waziri husika kutamka kuwa japokuwa Hotel zimejengwa kwa kukiuka sheria hazitabomolewa kwa nini?? na ni za kina nani?wakati kila leo hiyo hiyo serikali inawaagiza viongozi hao wa Makanisa na Misikiti kuombea taifa libaki na amani,swali ni je kwa sasa wale waumini wa kanisa lile la Kawe watakusanyika wapi kuombea taifa?Nafahamu wanaweza kuliombea taifa popote lakini kanisani palikuwa pahala pake hii serikali imechoka kila kona si PoliceCCM wanato mapovu ukija Ikulu na usalama wa taifa wote wamepooza mbaya so where are we going?
Kule zanzibar Makanisa yalichomwa hakuna waliochukuliwa hatua,Dr Ulimboko kateswa almost kufa leo hii Kova anasema wamemkamata mmoja wa watesaji hawa jamaa wanaigiza sinema si bora watuambie walimtuma yule jamaa kule kanisani ili aigize kuwa ndio mtesaji ati Kova anasema hawafahamu wanzake wala bosi aliyemwagiza/kumkodisha kwa mateso yale hii kweli ni sinema ya bure halafu ati tunasema tuna jeshi la police #$^%@#@%&^&mo..fuc..ker
Kule zanzibar Makanisa yalichomwa hakuna waliochukuliwa hatua,Dr Ulimboko kateswa almost kufa leo hii Kova anasema wamemkamata mmoja wa watesaji hawa jamaa wanaigiza sinema si bora watuambie walimtuma yule jamaa kule kanisani ili aigize kuwa ndio mtesaji ati Kova anasema hawafahamu wanzake wala bosi aliyemwagiza/kumkodisha kwa mateso yale hii kweli ni sinema ya bure halafu ati tunasema tuna jeshi la police #$^%@#@%&^&mo..fuc..ker