Elections 2010 Kama JK anaipenda TZ, Amuunge mkono Dr. Slaa..

Moseley

Senior Member
Jul 10, 2010
187
93
Kama kweli Kikwete anaipenda Tanzania, anatakiwa amuunge mkono Dr. Slaa.. Hakuna ubishi, Dr. Slaa ni zaidi ukilinganisha na JK.. Sasa kwa sababu kapatikana rais makini, inabidi yeye kama mmoja ya watanzania, amuunge mkono Dr. Slaa ili aingie Ikulu, atakuwa ametimiza wajibu wake wa kulipenda taifa kwa dhati...

Nawasilisha..
 
Kama kweli Kikwete anaipenda Tanzania, anatakiwa amuunge mkono Dr. Slaa.. Hakuna ubishi, Dr. Slaa ni zaidi ukilinganisha na JK.. Sasa kwa sababu kapatikana rais makini, inabidi yeye kama mmoja ya watanzania, amuunge mkono Dr. Slaa ili aingie Ikulu, atakuwa ametimiza wajibu wake wa kulipenda taifa kwa dhati...

Nawasilisha..
hakika kila mtanzania mwenye nia njema na nchi(waziri mkuu,rais...)anatakiwa kumuunga mkono slaa ili aoneshe mfano kwa miaka mitano ijayo
 
Kama kweli Kikwete anaipenda Tanzania, anatakiwa amuunge mkono Dr. Slaa.. Hakuna ubishi, Dr. Slaa ni zaidi ukilinganisha na JK.. Sasa kwa sababu kapatikana rais makini, inabidi yeye kama mmoja ya watanzania, amuunge mkono Dr. Slaa ili aingie Ikulu, atakuwa ametimiza wajibu wake wa kulipenda taifa kwa dhati...

Nawasilisha..


Mkuu unaota
 
Padre hawezi kuwa rais wa nchi yetu..not yet! endeleeni kubatiza wengi zaidi ndio mtangazne padre au askofu kuwa rais wenu...

Ya. Hii ina-sound kama ya kutumwa na Rostam kweli, mwenzio Malaria sugu sometimes anaongeza vyakwake. Mwambie atapoteza ajira! na ajira ilivyo shida hapa Tz kwa sasa...
 
Padre hawezi kuwa rais wa nchi yetu..not yet! endeleeni kubatiza wengi zaidi ndio mtangazne padre au askofu kuwa rais wenu...

Unainama, Unachutama, Unainuka .... Unaona haya huyo
 
Kama kweli Kikwete anaipenda Tanzania, anatakiwa amuunge mkono Dr. Slaa.. Hakuna ubishi, Dr. Slaa ni zaidi ukilinganisha na JK.. Sasa kwa sababu kapatikana rais makini, inabidi yeye kama mmoja ya watanzania, amuunge mkono Dr. Slaa ili aingie Ikulu, atakuwa ametimiza wajibu wake wa kulipenda taifa kwa dhati...

Nawasilisha..

usichanganye vitu, kwenye ulimwengu wa politics hayo unayoyadhania (ndoto) hayapo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom