Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Hebu fikiria, umetoka kazini. Ile unafika nyumbani unamkuta mkeo anamtukana mama yako mzazi i.e aliyekuweka tumboni miezi tisa.
Anamtukana matusi ya nguoni kama shenzi, mjinga, huna akili, mshamba n.k.
Je ungeanza kwanza kutafuta chanzo cha ugomvi au ungemfumua mkeo?.
Anamtukana matusi ya nguoni kama shenzi, mjinga, huna akili, mshamba n.k.
Je ungeanza kwanza kutafuta chanzo cha ugomvi au ungemfumua mkeo?.