Kikubwa kitakachokukwaza akiwa Mlokole ni nini?
Mzee unaona ishu sana kuacha pombe siyo?
oa kwa sababu mtu umempenda na sio sababu its covenient umri umefika na unataka watoto na mtu wa kukupikia nyumbani......mie sidhani kama huyo dada unampenda,uko naye kwa sababu na wewe unahitaji kuwa na mtu...which is wrong to me,.........
sidhani dhehebu tofauti ni kikwazo,watu wameoa waislam na bado mambo yakaenda,simpooo kila mtu abaki na dhehebu lake,kama mlivyokuwa wachumba kila mtu na dhehebu lake na kwenye ndoa mbaki hivyo hivyo.....au la tueleze nini tatizo litakalotokea iwapo kila mtu atabaki na dhehebu lake ili tukusaidie zaidi....maana tunacoment hatujui nini tofauti ya hayo madhehebu mawili endapo kuna ugumu kuuoana ..................ningekushauri badilisha dhehebu nenda la kwake oa then rudi kny dhehebu lako baada ya watoto wawili lol ila nitaonekana mie wa kuzimu buree lol .......................watu mna msimamo mikali when it comes to dini mpk mnatisha kha!
Duh
Wote ni wakristu; utofauti wa madhehebu ndio uvunjd uchumba wenu? Yaani mimi sioni shida kabisa hap.
Duh
Wote ni wakristu; utofauti wa madhehebu ndio uvunjd uchumba wenu? Yaani mimi sioni shida kabisa hap.
,kitu ni kilekile 2
DADA NEEMA; Tatizo la kwanza ni kwamba huyu binti tulikuwa twasali pamoja Anglican na mpaka tunakubaliana kuazisha urafiki/uchumba kwa nia ya kuoana tunasali pamoja.
Pili: ukumbuke tabia huendana na imani mtu aliyo nayo kwa Mungu wake.
Tatu: Kuwa na imani tofauti kwenye familia ni msingi wa matabaka mawili au matatu kwenye familia
Nne: Ikiwa wewe ni mume au mke utajisikiaje pale ambapo weekend unataka kuwa na mumeo/mkeo yeye yuko either kanisani hadi jioni?
Mwisho: Kuna haja gani ya kuwa na mtu lakini kila mtu ana njia yake dada ukimwambia mwenzio twende kulia anakuambia twende kushoto?
mke mwema anatoka kwa Bwana.DuhWote ni wakristu; utofauti wa madhehebu ndio uvunjd uchumba wenu? Yaani mimi sioni shida kabisa hap.