Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Kama huridhiki mwambie, usilipize..........
Ni miongoni mwa makosa makubwa sana kwenye uhusiano wetu. Hebu fikiria kwamba, mumeo anashiriki tendo na wewe kwa njia ambayo aikuridhishi.
Inaweza kuwa ni njia ya matumizi makubwa ya nguvu, njia ya haraka haraka bila hata kuchokozana sana, njia ya dharau na kiburi na njia nyingine ambazo hazikuridhishi au ambazo zinakufanya ujihisi kama chombo chake cha starehe na sio mwenza.
Badala ya kumwambia, unamnunia na kuanza kumfanyia visa, badala ya kumwambia unambeza na kumdharau. Hili ni kosa kubwa sana, ni kosa ambalo hulegeza na hatimaye kuangusha ndoa.
Dawa ni kusema, kumwambia mwenzako kuhusu kile ambacho hakikuridhishi na sio kuwa bubu na klpa kisasi katika mamo menine. Mwambie kwa pendo, kwa hekima na busara.
Ni miongoni mwa makosa makubwa sana kwenye uhusiano wetu. Hebu fikiria kwamba, mumeo anashiriki tendo na wewe kwa njia ambayo aikuridhishi.
Inaweza kuwa ni njia ya matumizi makubwa ya nguvu, njia ya haraka haraka bila hata kuchokozana sana, njia ya dharau na kiburi na njia nyingine ambazo hazikuridhishi au ambazo zinakufanya ujihisi kama chombo chake cha starehe na sio mwenza.
Badala ya kumwambia, unamnunia na kuanza kumfanyia visa, badala ya kumwambia unambeza na kumdharau. Hili ni kosa kubwa sana, ni kosa ambalo hulegeza na hatimaye kuangusha ndoa.
Dawa ni kusema, kumwambia mwenzako kuhusu kile ambacho hakikuridhishi na sio kuwa bubu na klpa kisasi katika mamo menine. Mwambie kwa pendo, kwa hekima na busara.