Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,993
Najua wengi mnajiuliza na maana Gani,..ni kweli wapo vijana wengi leo hii wamebadili ndoa kama vazi la kitenge ukichoka unaamua kuvua...nasema kwa wale waliokuwa bado naomba kama aupo tayari kuoa ama kuolewa usithubuu kabisa..unajiuliza kwa nini hili jamaa ninasema hivi
Laana ya mweisho kwenye ndoa ni KIFO..Kwa kukumbushana tu wale mnaochezea ndoa zenu yawezekan unazini mkeo ajui na unaona sawa starehe..leo hii kumbuka ulichosema utakuwa nae kwenye shida na raha mpaka.....KIFO...mwisho wa ndoa ni kifo kutututengenisha..wewe uliesema ujaribu na baada ya mwezi unaamua kumsulubu mwenzako nakueleza wazi kifo kinakutamani
Unaweza ukawa ukatamani kuoa ama kuzini lakini ukuwa na wazo la kuzini..huwa nafundishaga ukiwa unaomba kutoka kwenye umaskin USIOMBE HELA...omba mungu akupue wazo ama chanzo cha kupata hizo hela..same to ndoa unaweza kuwa huna wazo la ndoa ukasema mmh haka kabinti ngoja nikachakachue nitoe nuksi ya ndoa..same to mabinti maada wengi wanaolewa ama kulazimisha kuolewa kwa ajili ya kutoa nuksi ya kuolewa ama kulinhanisha na marafiki zake ama kweli yeye kwao akuna alieolewa na mijidada yake yote inaitwa mijimama na mitoto imejazna nyumban kedekede..
Na MUNGU Alie hai atowaacha wale wote wanaocheza na mdhabahu..ujui miili yenu ni madhabahu ya bwana iweje mnayachezea hivi..leo hii nakujulisha kama uajiriwapo ujue na utastaafu lini same ukiwa unafunga ndoa na kujigunga nira pale kanisan jua mwisho wake ni KIFO...na kwa heshima nasema MUNGU aiwaache achape kiboko wale wote wanaoamua kuoa ama kuolewa kutolea nuksi
MHIFADHIWE WAPENDWA
Laana ya mweisho kwenye ndoa ni KIFO..Kwa kukumbushana tu wale mnaochezea ndoa zenu yawezekan unazini mkeo ajui na unaona sawa starehe..leo hii kumbuka ulichosema utakuwa nae kwenye shida na raha mpaka.....KIFO...mwisho wa ndoa ni kifo kutututengenisha..wewe uliesema ujaribu na baada ya mwezi unaamua kumsulubu mwenzako nakueleza wazi kifo kinakutamani
Unaweza ukawa ukatamani kuoa ama kuzini lakini ukuwa na wazo la kuzini..huwa nafundishaga ukiwa unaomba kutoka kwenye umaskin USIOMBE HELA...omba mungu akupue wazo ama chanzo cha kupata hizo hela..same to ndoa unaweza kuwa huna wazo la ndoa ukasema mmh haka kabinti ngoja nikachakachue nitoe nuksi ya ndoa..same to mabinti maada wengi wanaolewa ama kulazimisha kuolewa kwa ajili ya kutoa nuksi ya kuolewa ama kulinhanisha na marafiki zake ama kweli yeye kwao akuna alieolewa na mijidada yake yote inaitwa mijimama na mitoto imejazna nyumban kedekede..
Na MUNGU Alie hai atowaacha wale wote wanaocheza na mdhabahu..ujui miili yenu ni madhabahu ya bwana iweje mnayachezea hivi..leo hii nakujulisha kama uajiriwapo ujue na utastaafu lini same ukiwa unafunga ndoa na kujigunga nira pale kanisan jua mwisho wake ni KIFO...na kwa heshima nasema MUNGU aiwaache achape kiboko wale wote wanaoamua kuoa ama kuolewa kutolea nuksi
MHIFADHIWE WAPENDWA